Soma katiba inavyoelekeza
Mbele yetu (yeye ametangulia), Nyuma yake (sisi tutafuatia).Mbele yake, Nyuma yetu
Kaburi linatoa adhabu gani? Tuanzie hapo kwanzaKwann ampunguzie adhabu ya kaburi mkuu?
Vyumba vya gesti vinamauzauza mengi sana.
Luna nililala kwenye nzuri na ya maana tanga niliomba kukuche.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kaburi Lina adhabu wachimba makaburi watakiona Cha mtema kuni maishani sababu huwa hayuko anayewaombea Dua ya kupunguziwa adhabu ya kaburi wakishamaliza kuchimba kaburiGuest hapa ndiyo iliyobeba habari.Anyway Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi!
Tumwombe Mungu viongozi wa juu wa CHADEMA wasiushikie bango msiba huu maana kwa "KIKI" hawajambo!
Guest hapa ndiyo iliyobeba habari.Anyway Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi!
Angkuwa wa upande ule tungeskia mengi sana,all in all may his soul RIP.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli alikuwa mafia basi tunashukuru sana kwa kifo hicho kumkuta. Tunaomba mabaradhuli wengine nao wakutwe na kifo cha aina hiyo hiyo.
Ni vigumu sana kutoa pole kwa mwanaccm kiongozi yeyote anaekufa awamu hii!!!Wamejipambanua kama wataabishaji,watesaji na wauaji!!!MI NASEMA MUNGU ENDELEA KUWAUA WANAOKALIA KIMYA MATESO NA MAUAJI YA WENZAO!!!Asante yesu kwa kutenda!!!!KAMA UMEPEWA MAMLAKA YA KUSEMA KWANINI USIKEMEE MATESO YA WATAKAO KUZIKA SIKU UKIFA?????Namshukuru mungu kwa kumuondoa aliekalia kimya mateso ya nduguze kwa kulinda tumbo lake!asante yesu kwa muujiza huu!naomba utende Bwana tumechoka sisi wanao!!!HII NI KOMENTI YA KUKARIBISHA MWAKA 2020!!!
Kwa akili za wanaccm,utafanyika na watakwambia wamepata ushindi wa kilshindo