DOKEZO Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini

DOKEZO Mbunge wa Ngorongoro (CCM): Maisha yangu yapo hatarini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Si ndiye alikua nyuma ya wanahabari kushambuliwa!?
Hao walikuwa wanahabari au MAWAKALA WA MAFISADI NA WALA RUSHWA WAKUBWA WA AWAMU YA SITA?
Kwa taarifa yako Mawakala wa Mafisadi na walarushwa ni wasaliti wa Taifa. Hawa waandishi wa aina ya KITENGE na wa gazeti la mwananchi ni maadui wa taifa.

Hawa wanajali matumbo yao tu na starehe za familia zao. Hawana habari Kabisa na dhiki wanazopata maefu ya wamasai. Kwa maoni yangu Kushambuliwa tu haitoshi, hawa haki yao ni kufugwa jiwe la kusagia na kutupwa baharini.
 
Ni mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
Hivi hawa waarabu mbona kipindi cha mwl Jk Nyerere hawakuwa na nguvu kiasi hiki?
 
Na huyu mzungu hizi ekari milioni 6.1 anazomiliki ziko maeneo gani? Au naye ziko huko huko Ngorongoro? 😳😳😳

Screenshot_20230820_195431_Chrome.jpg


 
Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro

“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai

Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.

Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.

Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.

Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao[emoji419][emoji375]
 
Hapana Rais Dkt Samia hajui vitu vingi kwa sababu walimfanyia kama alivyofanyia Papa Yohana wa II, yaani walimtenegenezea na bado wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.
wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.


HII NI KWELI, SASA NANI AMWAMBIE UKWELI MAANA HAWAMPI HATA MUDA WA KUSOMA VITU.
 
Awaachie ubunge wao mpaka saa hizi anasubiri nn
Huoni sasa hivi walivyokuwa na jeuri ya pesa, Neyma Jr, Benzema,CR7, Mane, Kante, Fofana, Firmino etc wanawahamishia tu kwao. Na wanakoelekea itakuwa wanawanunua mpaka MaRais wa kuwaongozea nchi yao.
Na njia stahiki zisipochukuliwa dhidi yao, soon watatawala dunia
 
Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro

“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai

Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.

Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.

Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.

Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Mkuu

Kwani si huo MCHAKATO ulishakamilika na wamasai wakahama!!?

Kwani bado kuna masai wabishi ambao HAWATAKI kuhama hadi leo!!?

Hii inashangaza nilidhani msomera village done and dusted kumbe bado!!?
 
Kipindi cha mwl hao system walikuwa na adabu
System ina workers, flow, interconnectedness, stock ,feedback na Feedback loops .....stock iliyokuwa ikijaa toka kwa watendaji wa Mwalimu Stock yake ndio hii unayoiona leo.
 
Hivi ambao mko huko mitandao mingine hizi mambo za siasa zijadiliwa sana kama hapa jf??
 
System ina workers, flow, interconnectedness, stock ,feedback na Feedback loops .....stock iliyokuwa ikijaa toka kwa watendaji wa Mwalimu Stock yake ndio hii unayoiona leo.
Asante mzee kwa kudadavua mambo magumu ya kijitonyama
 
Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro

“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai

Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.

Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.

Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.

Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Huyu si ndio aliandaa wamasai wawafueke waandishi? Ashughulikiwe sawa sawa na alivyofanya.
 
Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro

“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai

Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.

Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.

Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.

Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Wamasai sio watu wa kuwatetea, nitashangaa atakaye watetea hawa wapuuzi, hakuna watu ambao wanakugeuka dakika sifuri kama.wamasai
 
Watu wanatetea waarabu mpaka unashangaa huyu ni mbongo kweli? Pesa zenyewe za wanaotetea ni ten ten za bando tu huku wanafaidika wengine kabisa. Safari yetu ndefu sana
Ni mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
 
Back
Top Bottom