Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
F.R.E.E.M.A.S.O.N.R.Y.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao walikuwa wanahabari au MAWAKALA WA MAFISADI NA WALA RUSHWA WAKUBWA WA AWAMU YA SITA?Si ndiye alikua nyuma ya wanahabari kushambuliwa!?
Hivi hawa waarabu mbona kipindi cha mwl Jk Nyerere hawakuwa na nguvu kiasi hiki?Ni mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
www.jamiiforums.com
Wasiyo julikana kwani wameisha?
Awaachie ubunge wao mpaka saa hizi anasubiri nnHivi hawa waarabu mbona kipindi cha mwl Jk Nyerere hawakuwa na nguvu kiasi hiki?
Kipindi cha mwl hao system walikuwa na adabuMwalimu alisahau vipi kuiweka kwenye list sisiem Kama moja ya adui mkubwa kuliko kwa raia wake.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao[emoji419][emoji375]Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.Hapana Rais Dkt Samia hajui vitu vingi kwa sababu walimfanyia kama alivyofanyia Papa Yohana wa II, yaani walimtenegenezea na bado wanamtengenezea safari nyingi nyingi sana yaani matukio kila kukicha kiasi kwamba hana kabisa muda na wanaoendesha serikali ni genge fulani lipo Kule kunani. Yaani Rais Samia ni mzalendo sana tena sana.
Huoni sasa hivi walivyokuwa na jeuri ya pesa, Neyma Jr, Benzema,CR7, Mane, Kante, Fofana, Firmino etc wanawahamishia tu kwao. Na wanakoelekea itakuwa wanawanunua mpaka MaRais wa kuwaongozea nchi yao.Awaachie ubunge wao mpaka saa hizi anasubiri nn
MkuuMbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
System ina workers, flow, interconnectedness, stock ,feedback na Feedback loops .....stock iliyokuwa ikijaa toka kwa watendaji wa Mwalimu Stock yake ndio hii unayoiona leo.Kipindi cha mwl hao system walikuwa na adabu
Asante mzee kwa kudadavua mambo magumu ya kijitonyamaSystem ina workers, flow, interconnectedness, stock ,feedback na Feedback loops .....stock iliyokuwa ikijaa toka kwa watendaji wa Mwalimu Stock yake ndio hii unayoiona leo.
Ukienda jamhuri ya tweeter utakimbiaHivi ambao mko huko mitandao mingine hizi mambo za siasa zijadiliwa sana kama hapa jf??
Huyu si ndio aliandaa wamasai wawafueke waandishi? Ashughulikiwe sawa sawa na alivyofanya.Mbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Wamasai sio watu wa kuwatetea, nitashangaa atakaye watetea hawa wapuuzi, hakuna watu ambao wanakugeuka dakika sifuri kama.wamasaiMbunge wa Ngorongoro (CCM) Emmanuel Lekishoni Ole Shangai ameandika kwamba maisha yake yapo hatarini na kwamba imeagizwa auwawe kwa amri kutoka kwa RC wa Arusha na DC wa Ngorongoro
“Naomba kuwasilisha kwenu, kama Kuna lolote litanitokea mjue kuwa ni maelekezo ya DC wa Ngorongoro na mkuu wa mkoa wa Arusha” - Emmanuel Lekishoni Ole Shangai
Shangai anaeleza kwamba hata mke wake na familia yake wanapokea vitisho vya kuuwawa na kwamba wamefika nyumbani kumkamata mkewe.
Emmanuel Lekishoni Ole Shangai anasema baada ya jeshi la polisi kuvamia nyumbani kwake na mitutu ya bunduki mama yake mzazi alizimia hadi sasa hajarudi katika hali yake.
Hii ni baada ya Emmanuel Lekishoni Shagai kuamua kukataa kabisa biashara ya kuwahamisha Maasai kutoka Ngorongoro kwa lazima.
Maji yamechemka sana. MaCCM yameamua kumalizana. Ukizoea kula nyama ya mtu huwezi kuacha. Sasa wanamshughulikia ndugu yao.View attachment 2723126
Ni mpumbavu pekee ataamini wamasai wamehama kwa hiari. Tanzania tunafanyiana ukatili usiomithilika kwa uroho wa pesa na madaraka. Inasikitisha sana yani.
Wanaoshabikia CCM hamnazo kabisa.Wanaoshabikia CCM, sijui wana akili gani!!
Tangulini waliwahi kuwa na akili?Wanaoshabikia CCM hamnazo kabisa.