Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Oleshangai Naomba kuthibitisha kuwa wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana kwenye zoezi la uwekaji wa beacons kwenye ardhi ya vijiji, Ngorongoro.

Wananchi hao wanapatiwa huduma nchi ya jirani ya Kenya baada ya kunyimwa huduma zahanati ya Osero kata ya Ololosokwan bila PF 3, na waliowapiga ndiyo wanatakiwa kutoa PF 3.

Ikabidi wakaamua kwenda Kenya kutibiwa, Waliopigwa ni wapiga kura wangu halali na siyo wakenya.
Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai

====

Katika Ukurasa wake wa Facebook, Mbunge wa Ngorongoro ameandika hivi:

 
Wasiwasi wangu ni huo ubunge jee ataendelea nao au ndiyo atapangiwa majukumu mapya?

Huyu mbunge anaelewa wajibu wake wa kuwatumikia wapiga kura wake, ubunge wa CCM ni kitu kisicho na thamani kwake kama walivyo wapiga kura wake anao wawakilisha bungeni, kongole kwakwe kwa kuyapiga chini ma CCM!
 
huyu mbunge anaelewa wajibu wake wa kuwatumikia wapiga kura wake, ubunge wa CCM ni kitu kisicho na thamani kwake kama walivyo wapiga kura wake anao wawakilisha bungeni, kongole kwakwe kwa kuyapiga chini ma CCM!
Hao ndiyo wamasaai hawanaga uoga wa kijinga
 
nadhani tuingie kwenye 'civil war' kama ilivyokuwa sudan, ethiopia, Palestine, ndiyo adabu na heshima vitakuepo
Kwa akili za wachumia tumbo za watanzania wengi ambao wanaangalia darubini ya maisha kwa mita moja mbele hakutawahi kuwa na civli war.

Kiminyo kitaendelea na Ologarchs wanapasua anga tu, nasubiria yule aliyeitaka Coco Beach nae akaichukue sasa kwa raha mustarehe iwe mali yake. Marufuku kwa mshenzi yeyote kutoka Mbagala au uswahili kokote iwe K nyamala au Tandale kusogelea ufukwe bila kukabidhi "Luteni" au TZS10,000 kwenye lango la Beach!
 
Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
 
Kwa akili za wachumia tumbo za watanzania wengi ambao wanaangalia darubini ya maisha kwa mita moja mbele hakutawahi kuwa na civli war....
Kama Koko imetengwa kama mali ya umma itakuwa.hivyo ila kama ni mali ya Serikali wanaweza ikodisha kukajengwa biashara ndefu itakayoleta pesa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…