Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzeke nini kunafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
Miaka yote hamuweki alama
 
Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Oleshangai Naomba kuthibitisha kuwa wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana kwenye zoezi la uwekaji wa beacons kwenye ardhi ya vijiji, Ngorongoro.

Wananchi hao wanapatiwa huduma nchi ya jirani ya Kenya baada ya kunyimwa huduma zahanati ya Osero kata ya Ololosokwan bila PF 3, na waliowapiga ndiyo wanatakiwa kutoa PF .3.

Ikabidi wakaamua kwenda Kenya kutibiwa, Waliopigwa ni wapiga kura wangu halali na siyo wakenya.

View attachment 2259338
Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai
Hili suala linavyokwenda kuna kila dalili ya kwenda kuigharimu nafasi ya uwaziri mkuu kwa Mh Ka[emoji3513] jumba bovu linaweza kumuangukia wakati wowote ule.
 
Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Oleshangai Naomba kuthibitisha kuwa wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana kwenye zoezi la uwekaji wa beacons kwenye ardhi ya vijiji, Ngorongoro.

Wananchi hao wanapatiwa huduma nchi ya jirani ya Kenya baada ya kunyimwa huduma zahanati ya Osero kata ya Ololosokwan bila PF 3, na waliowapiga ndiyo wanatakiwa kutoa PF .3.

Ikabidi wakaamua kwenda Kenya kutibiwa, Waliopigwa ni wapiga kura wangu halali na siyo wakenya.

View attachment 2259338
Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai
Kwa hiyo walipatiwa Passport za Dharura pia?
 
Wamasai Wa Kenya walitangulia Handeni muda mrefu na ndio wanaofanya fujo Loliondo na Ngorongoro.
Hili kabila Litawanywe kijeshi mara Moja.

Na atakayeleta Siasa kichwa chake hakifai kukaa Juu ya Shingo. Serikali ikilegalega kwenye huu upuuzii unaojificha kwenye makabila na Dini itakuja kuingia kwenye tatizo kubwa sana baadae.

Haiwezekani ardhi iwe ni Mali ya kabila Moja tuu ,eti Wao wanaamua wanavyotaka Wao WAKATI hawana umiliki Wa kisheria. Hao Wamasai Wa Kenya warudi kwao , Tanzania ardhi ni Mali ya Serikali.
 
Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
Kajitowa Mhanga liwalo na liwe sedai tukuru shee
 
Hili suala linavyokwenda kuna kila dalili ya kwenda kuigharimu nafasi ya uwaziri mkuu kwa Mh Ka[emoji3513] jumba bovu linaweza kumuangukia wakati wowote ule.
Amejitakia
 
Kwa akili za wachumia tumbo za watanzania wengi ambao wanaangalia darubini ya maisha kwa mita moja mbele hakutawahi kuwa na civli war.

Kiminyo kitaendelea na Ologarchs wanapasua anga tu, nasubiria yule aliyeitaka Coco Beach nae akaichukue sasa kwa raha mustarehe iwe mali yake. Marufuku kwa mshenzi yeyote kutoka Mbagala au uswahili kokote iwe K nyamala au Tandale kusogelea ufukwe bila kukabidhi "Luteni" au TZS10,000 kwenye lango la Beach!
Mafisadi yameikamata nchi vizuri sn
 
Kwa jeshi letu la polisi linavyofanya kazi, ni nadra polisi awe amekufa kisha raia wasiwe wameuwawa, ama kuachwa na vilema vya maisha.

Kichekesho ni pale wanaposema kuwa kuna zoezi la uwekaji wa beacon, kisha wananchi wanatakiwa wahame! Ni bora hao Wamasai wakimbilie Kenya wapatiwe huduma za kibinadamu, kwa huku kwetu usishangae ukiingia vituo vya polisi kukuta watu wanavuja damu bila kupatiwa matibabu.

Ninachojaribu kujiuliza huyo mbunge yuko bungeni, kwanini asipige hata sarakasi huko bungeni kupinga huo unyama, badala ya kuandika huko kwenye social media? Spika ameshesema wakamatwe wanaorusha habari hizo za mgogoro mitandaoni. Ajue huku mitandaoni hakuna kinga.
 
Kwa jeshi letu la polisi linavyofanya kazi, ni nadra polisi awe amekufa kisha rais wasiwe wameuwawa na kuachwa na vilema vya maisha. Kichekesho ni pale wanaposema kuwa kuna zoezi la uwekaji wa beacon...
Usishangae wakaomba malaika aje kuondoa hii mitandao ya kijamii.
 
Back
Top Bottom