Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Oleshangai: Wananchi wapatao 31 wamejeruhiwa vibaya sana. Wanatibiwa nchini Kenya

Hapo anatetea ugali wake wala hawatetei wananchi, anajua wakihamishwa na ubunge umeisha kwani kama wananchi hawapo hawezi kuwa mbunge wa wanyama. Wakienda huko Tanga eneo lina mbunge wake, mbona hazungumzii askari wa watu waliomuua kikatili?
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
Anapingana na PM na chama chake kwa ujumla. 2025 kura za maoni zitamhusu, amalizie tu muda uliobaki.

Serikali ya CCM inasema hakuna majeruhi na kwamba kuko shwari na zoezi la kuweka mipaka linaenda vizuri. Yeye anasema kuna majeruhi, hospitali zote za huko Ngorongoro, hazina hao majeruhi. Chezea politics wewe.
 
Uungwana ni Vitendo , kwa hili ambalo Kenya imetufanyia kwa kuamua kututibia majeruhi wa kimasai waliojeruhiwa kwenye maeneo yao ya Ngorongoro na kutelekezwa , ili wafe kwa kuvuja damu nyingi linahitaji pongezi kubwa sana .

Nachukua nafasi hii kuipongeza Nchi nzuri ya Kenya kwa kutusitiri sisi Watanzania na kututibu , tena bila kulipa visasi vya KUCHOMWA KWA VIFARANGA VYAO NCHINI MWETU , Wakenya Mungu awasaidie sana kwa namna mnavyotufanyia , Kuanzia Matibabu ya Lissu na hawa Wamasai wa Ngorongoro.

Mungu Ibariki Kenya .
 
Hapo anatetea ugali wake wala hawatetei wananchi, anajua wakihamishwa na ubunge umeisha kwani kama wananchi hawapo hawezi kuwa mbunge wa wanyama. Wakienda huko Tanga eneo lina mbunge wake, mbona hazungumzii askari wa watu waliomuua kikatili?
Hivi unatumiaga kiungo gani kwenye kufanya maamuzi?
 
Anapingana na PM na chama chake kwa ujumla. 2025 kura za maoni zitamhusu, amalizie tu muda uliobaki.

Serikali ya CCM inasema hakuna majeruhi na kwamba kuko shwari na zoezi la kuweka mipaka linaenda vizuri. Yeye anasema kuna majeruhi, hospitali zote za huko Ngorongoro, hazina hao majeruhi. Chezea politics wewe.
Politics mara zote uleta madhara sana kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom