Kumtetea Katelefone ni kukosa huruma kwa watanzaniaAnachokisema mh mbunge, yuko sahihi, na alichokisema mh waziri mkuu yuko sahihi, maana wanaongelea maeneo mawili tofauti, yaani Ngorongoro (hifadhini) na Loliondo (kwenye bonde tengefu)
Mbona unataka kupotosha uhalisia?Alichokisema mheshimiwa waziri mkuu ni kuhusu hifadhi ya Ngorongoro kwa wale wanaotakiwa kuhama kwa hiari, kwamba hapakuwa na mapigano yeyote. Uhiari bado uko palepale, japo kuna baadhi ya watu wameamua kupotosha.
Mapigano ya hapa na pale yametokea hapa kwenye eneo tengefu la Loliondo., Ni eneo tofauti na hifadhini Ngorongoro. Hapa wananchi walikuwa wanazuia timu iliyotumwa na serikali kuweka alama za mipaka. Hapa ndipo wananchi wamemchoma askari wetu mshale wa sumu akafariki.
Hicho sio kigezo cha wao kuwa Watz, hao ni wahamiaji haramu tuUzuri Wao hawajibagui na kujitengatenga kama Wamasai.
Wametawanyika na hawana ukabila nje ya madaraka.
Msengerema sana wewe na ccm watakufumua marindah sana!Ndio hivyo, huwezi chekea tumbili wanakula mahindi, utakufa njaa..
Hao wanaotaka kuendelea kuharibu hifadhi wafyekwe wote, Nchi ni ya muhimu kuliko Masai wachache.
Ndio vizuri wakinifumua marinda..Ila nasema wapigwe tuu hao fala wa Kimasai..Msengerema sana wewe na ccm watakufumua marindah sana!
Bora useme Wewe... Yaani eti ndo wanaweka beacon... Hahahahaaa.. Serikali yetu inashangaza sanaMiaka yote hamuweki alama
Hebu tuelimishe wewe, lengo lake ni nini?Wameogopa kukamatwa baada ya kufanya mauaji ya askari hivyo wanatibiwa kienyeji na wengine wapo Narok Kenya kwa wamasai wenzao na mbunge ndiye anayehamasisha wananchi wafanye vurugu badala ya kuwaelimisha wamasai wenzake nini kinafanyika na nini lengo la kuweka alama kwenye hifadhi.
Huo ubunge wenyewe sï kahongwa tu na marehemu, wao wmejeruhiwa lakini ndio hao hao waliouwa polisi inakuwaje serikali kuweka beacon wamasai watangaze vita na serikali wakati tu najuwa ardhi yote ni milki ya serikali.Wasiwasi wangu ni huo ubunge jee ataendelea nao au ndiyo atapangiwa majukumu mapya?
Upo sahihi sana mkuuHuo ubunge wenyewe sï kahongwa tu na marehemu, wao wmejeruhiwa lakini ndio hao hao waliouwa polisi inakuwaje serikali kuweka beacon wamasai watangaze vita na serikali wakati tu najuwa ardhi yote ni milki ya serikali.
Wewe ni mkenya sawa sawa na hao wakenya wenzako mliowekza magombe yenu tanzania kwenye ardhi ya bure kwa sababu Kenya ardhi yote inamilikiwa na watu binafsi sasa wameshtuka kuona serikali inapima ardhi yake.Hebu tuelimishe wewe, lengo lake ni nini?
Na unakwendaje kuweka alama kwenye ardhi isiyo yako? Ardhi ya Loliondo na Ngorongoro si ya serikali bali ni ya umma na umma huo ni hao wananchi wenyeji wa vijiji vya maeneo hayo tangu vizazi na vizazi...
Ardhi hiyo ni mali ya wananchi wa vijiji vilivyo kwenye maeneo hayo...
Serikali ikitaka kuichukua kwa sababu zake, sharti wakae chini na wenyeji, wazungumze na kukubaliana..
Sasa swali la kujiuliza ni hili, kwamba, iweje serikali ipeleke wanajeshi/askari polisi wakiwa na silaha za kivita kuvamia ardhi ya watu tena bila uongozi wa wananchi wa maeneo kujua lolote linaloendelea? Je, huko si ni kutaka kuleta vita na maafa yasiyo na sababu...??
Very stupid decisions from very stupid and foolish government officials.!
Una uhakika na unachokisema? Kuna siku yatakukuta hata wewe au wapendwa wako.Ndio hivyo, huwezi chekea tumbili wanakula mahindi, utakufa njaa..
Hao wanaotaka kuendelea kuharibu hifadhi wafyekwe wote, Nchi ni ya muhimu kuliko Masai wachache.
Hujaona orodha ya madiwani waliokamatwa na hawajulikani walipo, Unadhani madiwani ni chama Gani?Wasiwasi wangu ni huo ubunge jee ataendelea nao au ndiyo atapangiwa majukumu mapya?
Hujaona orodha ya madiwani waliokamatwa na hawajulikani walipo, Unadhani madiwani ni chama Gani?
Mh LEMA aliwahi kusema, wakiwamaliza wapinzani watageukana wao Kwa wao.
UOVU Hauna DINI, CHAMA,KABILA, RANGI nk. Tuungane Kwa pamoja kukataa UOVU.
HOFU ni DHAMBI, tusilale Hadi HAKI itakaposomama ktk Nchi. Amen