Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila ole sendeka sitamsamehe na kumhurumia kwasababu badala ya kumkingia kifua mtu wa kwao Lowasa alikubali kutumiwa kumponda na kumdhalilisha Lowasa.
 
Shida mahali ilipo ektiwa kungekuwa na ka karavati au ka kona ingenoga sana...

Sasa kwenye migunga na vichaka vingi barabara imenyooka

Mutu akikuvizia na mujegeje hutoboi pyuupyuu machakani na basitorraa hapo alipishwe faini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…