Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataona aibu kusema ni marehemu JPM hvy watasema n makonda 😂Lawama atapewa Makonda
Aliporudishwa nilijua kuwa haya mambo nayo yanarudi.Bashite legacy..
na ameanzisha beef na salaah wa gsmAliporudishwa nilijua kuwa haya mambo nayo yanarudi.
Why udhani ni upinzani??mbaya sana
kama ni upizani itawaletea shida sana hii
Kwanini umaje mwendazake na usiseme Mwigulu au Lazaro nyarandu?
Hawana shabahaTaarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.
Kwann ezi za mwendazake Chadema walikuwa wanasema kila baya linafanywa na JPMKwanini umaje mwendazake na usiseme Mwigulu au Lazaro nyarandu?
Labda kakamatwa ugoniAlikuwa katika mazingira gani?
wanazuia risasi?Huyu mara nyingi namuona anatembea na walinzi wenye bastola imekuwaje tena?
Jino kwa jinoInasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.
Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!
---
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.
Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.