Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya na sasa hv mtasema n nan.?Kwanini alisemwa yeye? Mkapa pia alikuwa Rais.
Dr Samia ni Rais mbona hawamsemi?
Hakuna upinzani bungeni hivi sasa.mbaya sana
kama ni upizani itawaletea shida sana hii
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.
Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!
---
Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.
Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.
View attachment 2948550
Kwa umri wake anatakiwa kupisha vijana.wawe upinzani au CCM kwa umri wake bado anataka madaraka kweli ? Mumm apishe vijanaHao watakuwa wasaka madaraka tu wanaliana timing
😀😀😀 una kumbukumbu sana mkuu, kwanza askar ni wa CCM alafu mwisho risasi 3 huna maisha. Nchi hii...Watakuwa siyo askari wa CCM hao kwa maana wao risasi 3 huwa zinatosha sana ... !
AiseeHuu ndio muda wao wa kushikisha Watu Kesi na haswa Wapinzani utasikia Mdude kakamatwa na AK47.
Hizo ripoti ni mwiko kutangazwa hapa nchini, ukitangazwa uhalisia unaitwa mchochezi.labda anapinga ardhi ya wamasai kuporwa kupewa mwarabu awinde, wamasai wanafurumushwa na serikali kupisha ujenzi wa hoteli ya mwarabu ina trend dunia nzima isipokuwa tanzagiza tu ndo watu labda hawajui …
Ulitaka iweje ndio ushtuke?Mbona haishtui?
Wake za watu ni hatari sana