Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.

Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!

---

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.

Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.

Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.

View attachment 2948550
Soma na hii taarifa ya November 2023

"Katika hali ya kuishiwa na akili za uongozi, Ole Sendeka ameendelea kusababisha vurugu na kushawishi wananchi kuvamia mashamba ya wawekezaji halali. Baada ya vikao anavyodai vya siri na baadhi ya wanachi ,Jana tarehe 11/12/2023 na leo 12/12/2023 wananchi wa Naberera walienda kuvamia shamba la Rotiana Social Investment Ltd Ole Sendeka akiwa nyuma yao.

Bila aibu na hali akijua mashamba hayo yanamilikiwa kihalali na yanaendeshwa na Kampuni ya Rotiana Ole Sendeka amesema uongo kuwa mashamba hayo hayana mmiliki na kuwambia wananchi wayachukue kwa nguvu.

Ikumbukwe kuwa Ole Sendeka 2018 hadi 2022 aliendesha uovu kama huo kwa shamba la Marehemu Yese ambae alikua rafiki yake lililopo Ngage Wilayani Humo Simanjiro hadi alipoumbuliwa na Naibu Waizir wa Waklatyi huo Ridhiwan Kikwete na pia kuzodolewa na binti mkubwa wa Yese."

Isije ikawa ni REVENGE. Maana Ole Sendeka ni mtu wa DEAL chafu
 
Inasemekana kuwa mbunge wa Simanjiro Mh. Christopher Ole Sendeka amepigwa risasi na watu wasiojulikana akiwa Simanjiro.

Amekimbizwa hospitali katika juhudi za kupambania maisha yake.
Taarifa zaidi zitakujia baadae.
Hakuna alie salama..!!

---

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambulia gari lake kwa risasi mapema leo jioni hii.

Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishambulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana.

Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo.

View attachment 2948550
Ingekuwa wakati ule tungesema ni RA kutokana na ile issue ya hayati EL, ila sasa tutambebesha nani dhambi hii?

Ova
 
Soma na hii taarifa ya November 2023

"Katika hali ya kuishiwa na akili za uongozi, Ole Sendeka ameendelea kusababisha vurugu na kushawishi wananchi kuvamia mashamba ya wawekezaji halali. Baada ya vikao anavyodai vya siri na baadhi ya wanachi ,Jana tarehe 11/12/2023 na leo 12/12/2023 wananchi wa Naberera walienda kuvamia shamba la Rotiana Social Investment Ltd Ole Sendeka akiwa nyuma yao.

Bila aibu na hali akijua mashamba hayo yanamilikiwa kihalali na yanaendeshwa na Kampuni ya Rotiana Ole Sendeka amesema uongo kuwa mashamba hayo hayana mmiliki na kuwambia wananchi wayachukue kwa nguvu.

Ikumbukwe kuwa Ole Sendeka 2018 hadi 2022 aliendesha uovu kama huo kwa shamba la Marehemu Yese ambae alikua rafiki yake lililopo Ngage Wilayani Humo Simanjiro hadi alipoumbuliwa na Naibu Waizir wa Waklatyi huo Ridhiwan Kikwete na pia kuzodolewa na binti mkubwa wa Yese."

Isije ikawa ni REVENGE. Maana Ole Sendeka ni mtu wa DEAL chafu
Hapa ndipo kulipo kiini cha tatizo

Kwa kuwa ni fisi anamla fisi mwenzake haina shida kabisa

Kama taifa tuache kuwa tunakaa kimya na kushabikia pindi atokeapo raia anakuwa anawasemea wale ambao hawana sauti
 
Mwanasiasa Ole Sendeka amenusurika risasi, taarifa imetoka na polisi wamethibitisha.

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna mahojiano ya moja kwa moja na viongozi wake wa chama, bunge wala wanasiasa wenzake

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna Waziri aliyepost kwenye social media account kutoa pole na kukemea, hakuna mwanasiasa wa chama chake aliyejitokeza kulaani. Ila ingekuwa msiba.............

Kwanini sisi siyo wepesi wakurespond kwenye crisis? Pole ole Sendeka.

Mnaosimamia mitandao ya kijamii akaunti za viongozi kuweni active
 
Kwa mwanasiasa, pole yake inategemea sana chanzo cha tukio. Kuna pole ikitolewa inakandamiza upande wa pili.

Mf. Umetoa chuma ukadhibitiwa, risasi ikaenda hewani/pembeni. Ukipewa pole itakuwa ni kumkandamiza aliyetolewa chuma. (ni mfano, hauhusiani na tukio la kwenye uzi huu)

Pole kwa wahanga wa tukio hilo.
 
Mbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva.

Olesendeka na Dreva wote wako salama. Kwa Sasa wapo Kituo cha Polisi Kibaya. Taatifa pia imeshatolewa Kwa RPC -Manyara
View: https://x.com/mariastsehai/status/1773779899175584037?s=46&t=vDlGjN3mpXpeCEHCuyoPFg

Ila wabongo tuna ujinga sana. Huyu tayari kishaingiza siasa kwenye hili. Kuwa mbunge haimaanishi kwamba una kinga ya majambazi, wakora, watesi na kudhulumiana kwenye biashara
 
Soma na hii taarifa ya November 2023

"Katika hali ya kuishiwa na akili za uongozi, Ole Sendeka ameendelea kusababisha vurugu na kushawishi wananchi kuvamia mashamba ya wawekezaji halali. Baada ya vikao anavyodai vya siri na baadhi ya wanachi ,Jana tarehe 11/12/2023 na leo 12/12/2023 wananchi wa Naberera walienda kuvamia shamba la Rotiana Social Investment Ltd Ole Sendeka akiwa nyuma yao.

Bila aibu na hali akijua mashamba hayo yanamilikiwa kihalali na yanaendeshwa na Kampuni ya Rotiana Ole Sendeka amesema uongo kuwa mashamba hayo hayana mmiliki na kuwambia wananchi wayachukue kwa nguvu.

Ikumbukwe kuwa Ole Sendeka 2018 hadi 2022 aliendesha uovu kama huo kwa shamba la Marehemu Yese ambae alikua rafiki yake lililopo Ngage Wilayani Humo Simanjiro hadi alipoumbuliwa na Naibu Waizir wa Waklatyi huo Ridhiwan Kikwete na pia kuzodolewa na binti mkubwa wa Yese."

Isije ikawa ni REVENGE. Maana Ole Sendeka ni mtu wa DEAL chafu
Kama ni hivyo wampasue tu hakuna jinsi nyingine
 
Mbwa kala mbwa
FB_IMG_1616545580714.jpg
 
Back
Top Bottom