Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Pre GE2025 Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naona wameanza mambo yao kuelekea uchaguzi mkuu.
Kazi ipo...))
Ni vizuri hao watu waliohusika wakamatwe na wanyongwe tu.
Ndiyo huwa hivyohivyo. Wanapoona wakinzani wao wanalalamika kufuatiliwa,kutishiwa au kufanyiwa dalili yoyote ya kuhatarisha amani wawe wanaelewa badala ya kutoa sentensi za kejeli kwamba:-
-Nani akufuatilie wewe una nini? AU
-Serikali ikitaka kukudhuru haishindwi!AU
-Mtakuwa mna ugomvi wa kimapenzi kugombea mahawara.AU
-Mnataka/mnajiteka na kujiua ninyi wenyewe!
 
Wenzake walikua wanazielekeza risasi kwake yeye za kwake akawa anazipiga mbinguni utafikiri washambuliaji wake walikuwa huko angani nadhani ingempata hata moja kwenye makanyagio yake angegutuka yale hayakuwa maigizo hivyo angezielekeza zake sehemu sahihi
 
Akijieleza kwa Waandishi wa Ayo TV mh Ole sendeka amesema Baada ya kushambuliwa na Wasiojulikana alijibu Mapigo kwa kupiga risasi juu kwa kutumia Silaha nzito nzito na Wasiojulikana wanakimbia

Kumbe Tundu Lisu angekuwa na Silaha siku hawa Wasiojulikana walipomshambulia angeweza kuwadhibiti

Demokrasia ina gharama 🐼
Ipo tofauti kubwa kati ya shambulio la Lissu na Sendeka.
 
Mwanasiasa Ole Sendeka amenusurika risasi, taarifa imetoka na polisi wamethibitisha.

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna mahojiano ya moja kwa moja na viongozi wake wa chama, bunge wala wanasiasa wenzake

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna Waziri aliyepost kwenye social media account kutoa pole na kukemea, hakuna mwanasiasa wa chama chake aliyejitokeza kulaani. Ila ingekuwa msiba.............

Kwanini sisi siyo wepesi wakurespond kwenye crisis? Pole ole Sendeka.

Mnaosimamia mitandao ya kijamii akaunti za viongozi kuweni active
Hahaaa ...kufaa kufaana. Huijui ccm
 
Sasa yeye kwanini alikuwa anapiga risasi hewani badala ya kumpiga adui walau hata kupiga tairi la gari ili wabaya wake washindwe kuondoka na hata wakitoroka basi gari libaki hapo enoo la tukio, ili kuja kutumika kama ushahidi na kuwabaini wahusika haraka.
 
Mwanasiasa Ole Sendeka amenusurika risasi, taarifa imetoka na polisi wamethibitisha.

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna mahojiano ya moja kwa moja na viongozi wake wa chama, bunge wala wanasiasa wenzake

Kwa zaidi ya masaa saba hakuna Waziri aliyepost kwenye social media account kutoa pole na kukemea, hakuna mwanasiasa wa chama chake aliyejitokeza kulaani. Ila ingekuwa msiba.............

Kwanini sisi siyo wepesi wakurespond kwenye crisis? Pole ole Sendeka.

Mnaosimamia mitandao ya kijamii akaunti za viongozi kuweni active
Kweli aisee Wamemtelekeza hata kumafariji tu hakuna.
Ni kama walitamani iwe kweli.

Hapo ndio akae ajiulize hilo kundi lake ni marafiki au vipi.
 
Akijieleza kwa Waandishi wa Ayo TV mh Ole sendeka amesema Baada ya kushambuliwa na Wasiojulikana alijibu Mapigo kwa kupiga risasi juu kwa kutumia Silaha nzito nzito na Wasiojulikana wanakimbia

Kumbe Tundu Lisu angekuwa na Silaha siku hawa Wasiojulikana walipomshambulia angeweza kuwadhibiti

Demokrasia ina gharama 🐼
Bora leo umetaja source.

Next time weka link maana tunakufehem kwa kukurupuka
 
Mbunge wa Simanjiro Olesendeka ashambuliwa Kwa Risasi usiku huu na watu wasiojulikana. Amefutwa na gari Kwa muda na alipofika katikati ya Ng'abolok na Irkiushi, Kibaya, gari iliyokuwa ikimfuatilia ilijifanya kama inataka kupita na ghafla kuanza kumimina risasi kadhaa kuelekea mlango wa dreva.

Olesendeka na Dreva wote wako salama. Kwa Sasa wapo Kituo cha Polisi Kibaya. Taatifa pia imeshatolewa Kwa RPC -Manyara
View: https://x.com/mariastsehai/status/1773779899175584037?s=46&t=vDlGjN3mpXpeCEHCuyoPFg

Huyu dada anakurupuka sana

What if ni issues za battle zao wamasai na vita ya nani awe LAIGWANAN?

What if ni dhuluma?

Sendeka ni mtu wa ubabe, tambo na vitisho

Bahati mbaya ukanda anaotokea hawadekezani
 
Back
Top Bottom