ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Iwe na backstoryUlitaka iweje ndio ushtuke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwe na backstoryUlitaka iweje ndio ushtuke?
Hapana huyu ameshambuliwa na mwendazake usisahau mkuuBado anakomaa na mambo ya Ngorongo au?
Kama sio bashite au mwendazake kuna mmoja wao kahusika hapaAmewakosea nini wale jamaa!!?
Huwa hawashambulii TU Bure wale jamaa!!Kuna kitu kafanya!!
de 'levis uko wapi !!?utupe clue!!?
Watu wanafikiri hata Lisu alishambuliwa kwa kuonewa!hapana !Kuna miiko ya kimfumo aliikosea ya wale jamaa ukiivuka TU wanakuijia hata kama wengi wataona unaonewa lakini lazima Kuna mambo utakua ulishaonywa lakini ukashupaza shingo!!
Itakua haikua safe process,tagert atakua alishtukia ndio maaana hawajafanikiwa kwa asilimia mia!!
Matukio ya wakubwa kupigwa risasi nchi hii hayajaanza Leo;-
RIP IMRAN KOMBE
LIVE LONG TUNDU LISU
LIVE LONG OLESENDEKA!!
Ukisikia Paaa..Atakuwa amesikia paaaaaaah! Kweli 🤔 ngoja tuone
Aisee!Amewakosea nini wale jamaa!!?
Huwa hawashambulii TU Bure wale jamaa!!Kuna kitu kafanya!!
de 'levis uko wapi !!?utupe clue!!?
Watu wanafikiri hata Lisu alishambuliwa kwa kuonewa!hapana !Kuna miiko ya kimfumo aliikosea ya wale jamaa ukiivuka TU wanakuijia hata kama wengi wataona unaonewa lakini lazima Kuna mambo utakua ulishaonywa lakini ukashupaza shingo!!
Itakua haikua safe process,tagert atakua alishtukia ndio maaana hawajafanikiwa kwa asilimia mia!!
Matukio ya wakubwa kupigwa risasi nchi hii hayajaanza Leo;-
RIP IMRAN KOMBE
LIVE LONG TUNDU LISU
LIVE LONG OLESENDEKA!!
labda anapinga ardhi ya wamasai kuporwa kupewa mwarabu awinde, wamasai wanafurumushwa na serikali kupisha ujenzi wa hoteli ya mwarabu ina trend dunia nzima isipokuwa tanzagiza tu ndo watu labda hawajui …
Taifa kwanzaIla ole sendeka sitamsamehe na kumhurumia kwasababu badala ya kumkingia kifua mtu wa kwao Lowasa alikubali kutumiwa kumponda na kumdhalilisha Lowasa.
Mbowe ni gaidiWhy udhani ni upinzani??
Mazingira ya The Bold.🤣Alikuwa katika mazingira gani?
Mheshimiwa bwege.Wakiwamaliza upinzani watageukiana wao kwa wao : - mtu fulani aliyasema maneno haya