Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sitashangaa kuona hili likijiri.Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
=======
ungemfundisha ndugu yako kiingreza ingikua bora kuliko kutuletea ugoko hapaIs this a pre-emptive move....
To call it before he does..?
Kwani uliwah msikia Zito akihoji 1.5 bungeni?Uliwahi musikia mwenyekiti wa ccm mpambana na rushwa mwanzisha mahakama za kifisadi akizungumzia 1.5 trilion? Ujue alizipiga sasa ndo anazitumia
Huko chadema kuna watumwa?Au ni soko la biashara ya watumwa?Wamfukuze ili mseme kaonewa?Endeleeni na biashara yenu ya utumwa!
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Ingia youtube umuone zitto akitema madini kuhusu wezi wa 1.5 pia hao wabunge wanaokuja huko kwenu waliwahi kuhoji bungeni ilipo rizuku ya chadema?Kwani uliwah msikia Zito akihoji 1.5 bungeni?
Ilete hapa hiyo link au clip zito akihoji 1.5 bungeniIngia youtube umuone zitto akitema madini kuhusu wezi wa 1.5 pia hao wabunge wanaokuja huko kwenu waliwahi kuhoji bungeni ilipo rizuku ya chadema?
Ukiwa mshabiki wa ccm unakuwa msukule msikilize hapo nafikir sasa kama umeomba ushahid wa zitto utakuwa unajua zimeibiwaIlete hapa hiyo link au clip zito akihoji 1.5 bungeni
Amekuambia zimeibiwa?Vipi alisema nini baada ya majibu ya serikali?Ukiwa mshabiki wa ccm unakuwa msukule msikilize hapo nafikir sasa kama umeomba ushahid wa zitto utakuwa unajua zimeibiwa
Naona bit imebadilika sasa dawa ishakuingia hata wezi wa ecsrow serikali iliwatetea usiwe na kiherehere cha kuomba ushahid kipind hiki science ipo juu matokeo yake ndo hayo utaanza kutafuta kichaka ulisema akihoji bungeni nimekupa unaniuliza majibu ya serikali wewe zimo kweli?Amekuambia zimeibiwa?Vipi alisema nini baada ya majibu ya serikali?
Hii biashara haiwasaidi lakini kwa aibu hawawezi kuiacha maana watachekwa (wataulizwa imeleta tija gani) hivyo watajitutumua tu kuendelea nayo kuliko ku-surrender.
Eti hawa ndio watu wa kuipeleka Tanzania kufikia katika uchumi wa kati!!
Wabongo mtasubiri sana!!
Mkuu sioni alipohoji kuwa hizo 1.5 ziko wapi zaid ya kuhoji hela za mirad serikali itatoa wapi.Na ukifuatilia jins ya hilo nje ya binge ni tofaut kabisa na ndan ya bunge.Huku nje anakuambia zimeibiwa,lkn huko ndan anakuambia matumiz yake hayaeleweki na huko ndan anaongea kama CAG alivyojibu akihojiwa na Azam TV kuwa anajua zimetumika ktk matumiz ya serikali lkn hajui ni matumiz gani.Naona bit imebadilika sasa dawa ishakuingia hata wezi wa ecsrow serikali iliwatetea usiwe na kiherehere cha kuomba ushahid kipind hiki science ipo juu matokeo yake ndo hayo utaanza kutafuta kichaka ulisema akihoji bungeni nimekupa unaniuliza majibu ya serikali wewe zimo kweli?
Umejuaje? Kakwambia au ndio wewe mwenyewe unapima upepo?Mbunge wa Simanjiro James Ole Millya,kuhamia Chama cha Mapinduzi muda wowote kuanzia sasa. Millya ni miongoni mwa wabunge wa Upinzani wenye ushawishi kanda ya kaskazini kutokana na uzoefu wa siasa za kanda hiyo.
=======
😁😁😁 hivi si mliwakataza wasitoe hiyo misaada au mliwaambia kwa kiswahili?Hata mataifa yanayotupa misaada ya fedha mimi nimeanza kuwadharau.
Ni sawa na mtu anatoka majimaji anaenda Manchester alafu unamuambia msimu ujao asirudi tena hivi hapo unakuta unachekesha au unasikitisha?Awasalimie huko kijan but 2020 asiombe kurudi tena cdm
Hata kwa nyalandu tulisikia hayohayoBaada ya kuhamia CCM utasikia majibu ya upande wa pili kuwa 'hata hivyo tulikuwa mbioni kumsimamisha na kumfukuza kabisa uanachama kwa tuhuma kadha wa kadha'.