TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

Status
Not open for further replies.
hot news mpaka ufukunyue Sana ,kinyume na hapo tutakuwa tunaadhimisha vifo vilivyopita tuu 😇😇😇
 
Sky Eclat,
😱 "mimi mwanaume niliekamilika" ... Mara nyingi hii statement inakua the opposite. Lack of self confidence they say.
 
Wasukuma tuna tia aibu sana nahisi ndo kanda inayoongoza kwa kua na wabunge wengi waarabu,wahindi sijui why hatuwaamini watoto wetu
Abood wa wapi
Shabbiby wa wapi

Stay home, stay safe
Corona kills
 
Naona mambo yanazidi kuaribika wacha liende we are on the right track 😎
 
Tanzia: mwana JF mwenzetu @mpenziwakale ametuacha. R. I. P ndugu yetu tutakumiss sana kwa thread zako mbovu. Zile tanzia wanakufa watu ujue sasa wewe unageuza mchezo si Ndio? Kufa wewe tubandike tanzia mpuuzi mmoja wewe.
We kweli ni Msungwite, sura na jina lako vinaakisi ulivokuwa mshamba na mjinga wa akili fupi.....
 
Bado msisitizo wa kuendelea kuchapa kazi una tija??...lockdown inashindikana vip hasa kwenye miji mikubwa ya nchi yetu? Donors wanatoa pesa kila siku hata Kama NI kwa uchache...tunauliza pesa hizo zinaenda kwa utaratibu upi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…