Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
JK alikuwa dhaifu but had something upstairs,nashangaa ilikuwaje ajatuachia empy boxNchi hii lipo tatizo kubwa sana la akili hasa katika nyanja ya uongozi, unaogopa ugonjwa au kuonea aibu ugonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK alikuwa dhaifu but had something upstairs,nashangaa ilikuwaje ajatuachia empy boxNchi hii lipo tatizo kubwa sana la akili hasa katika nyanja ya uongozi, unaogopa ugonjwa au kuonea aibu ugonjwa
Sumve ipo kwimba?Mbunge RICHARD NDASA , Mbunge wa KWIMBA CCM amefariki DODOMA HOTEL leo
SIO CORONA KILA KIFO
Ndiyo mkuu!Nyingine ni ipi?supika ama?
Kweli kabisa unajua hatuko salama kwa hali ilipofikia kila mtu ailinde familia yake na wale anaowapenda,,Inasikitisha sana hata hawa tunaoamini ni wasomi waelimishe wakina sisi bado wanafanya makosa.
Kuna mbumbumbu walikuwa wanasema Corona haitafua dafu kwa ngozi nyeusi sasa hivi wako kimya! Kuna mbumbumbu wapya wameibuka wanadai kuwa siyo kila kifo ni Corona nao pia watakaa kimya!SIO CORONA KILA KIFO
1 STRESS
2 NGOMA
3 PRESSURE
4KISUKARI
5.MAWAZO
6.MAPENZI
7.MADENI
Poleni, hao bibi zako sijui kama watapelekewa mwili maskini
Origin yake ni Misasi - Misungwi?Yaani leo Misasi ni vilio tupu
Twawelilwe kwizhukilija nu ntemiYenge ya ponda soni gete ng'wana omayo
Ccm ndio yenye dhamana imeboronga kila mahali sasa inaboronga kwenye mfumo wa afya na mungu anawaumbua naona Kuna mtu ananyatiwa na covid kigogo lazima abrekishe ndani ya wiki hii mpaka ijumaa.Samahani lakini ukweli ni kwamba unastahili kuitwa zezeta. Mambo ya U-ccm yanahusiana vipi na vifo???
Kama huwezi kuomboleza ni bora kupotezea tu.
Mara amekutwa amefia hotelini mara ameanguka kwenye viwanja vya bunge.Mara hotelini kumekutwa vifaa vya kujifukiza. Taarifa zingine shida tu.
Kwa hiyo Nyamboge wanakaa wanyarwanda? Acha uhuni.Hakuna cha kulaumu mbona sisi tumemchagua muhutu kuliongoza taifa
Khulwake ilumbuye?Yaani leo Misasi ni vilio tupu