Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

Naona kibanda kinazidi kujaa wahamiaji haramu.Wenyeji kimya hadi siku watalipuka.
 
Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara

Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama
Tusubiri kura za maoni zitakapokuja wasije wakaanza kulia faulo .... Wale wa mwanzo walipitishwa kwa maelekezo toka juu. August hiyo kitu haiwezekani ....!!
 
Kila mmoja anakimbilia huko tu, sioni wanakwenda ACT Wazalendo..!
 
Hongera kwa kujitambua
Kama umeshindwa pambana nao
Ungana nao
Bado Tanzania haina Upinzani wa kweli
Wote Mamluki na Wachumia Tumbo
Ccm ipo leo kesho na kesho kutwa
Kizazi kijacho ndio kitaiondoa Ccm
Sio hawa wana Saccos
 
Tayari hilo jimbo lina mgombea wa CCM. Biashara imeisha hiyo!
 
Back
Top Bottom