goggles
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,415
- 2,358
Kina nani ambao ni magisadi nguli mkuu!!CCM wanatumia kila mbinu kupendwa huku ikikumbatia Mafisadi nguli
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina nani ambao ni magisadi nguli mkuu!!CCM wanatumia kila mbinu kupendwa huku ikikumbatia Mafisadi nguli
Hapana bro. Ukikataa unadukuliwa na kuanikwa mambo yako ya chumbani kama alivyoanikwa Msigwa akiongea matusi na mchepuko wake.Hawa jamaa hawajiamini kabisa
Chenge ndio kubwa lao!
Biashara imenoga!Yaani mtu aache mamilioni ya mshahara na marupurupu kisa kuunga mkono juhudi,kuna namna hapo!Wapinzani ile sera yao ya pinga pinga imegonga mwamba. Wamejiharibia baab kubwa.
Tusubiri kura za maoni zitakapokuja wasije wakaanza kulia faulo .... Wale wa mwanzo walipitishwa kwa maelekezo toka juu. August hiyo kitu haiwezekani ....!!Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara
Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama
Wapo wengi hasa ofisi nzima ya lumumba. Kila kukicha ni kuhujumu uchumi tu!
Kwisha kazi yenu.Biashara imenoga!Yaani mtu aache mamilioni ya mshahara na marupurupu kisa kuunga mkono juhudi,kuna namna hapo!
This gvt is sick,period!