Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Katani Katani ajiuzulu na kujiunga CCM

Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara

Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama

View attachment 1365143

Wahamie wote huko...na hivi vyama vya upinzani vife kabisa...tuanze kugombana huko huko....si unajua tena ugomvi wa wanafamilia huwa hauishi..
 
Wameona uchagizi unakaribia wanahama..wanafiki wote hao...kwani hawezi kumuunga mkono preze wakiwa kwenye vyama vyao
 
Sory mkuu hapo kwenye picha ndie yupi
Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara

Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama

View attachment 1365143
 
Wameona uchagizi unakaribia wanahama..wanafiki wote hao...kwani hawezi kumuunga mkono preze wakiwa kwenye vyama vyao
Hakuna mswahili aungae bure yaani aulambe mkono mtupu.Mbona Zanzibar hayapo hayo
 
Hizo kwa sasa siyo habari tena
Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara

Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama

View attachment 1365143

In God we Trust
 

DAR: BEI YA GESI YA MAJUMBANI YAPANDA
-
Mtungi mdogo ulikuwa Tsh 17,000 sasa ni Tsh 22,000, mitungi mikubwa Tsh 49,000 sasa ni Tsh 50,000 hadi Tsh 54,000
-
Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda.



Mfumo wa CCM ni Ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenyewe hata sufuria huna unazungumzia habari ya kupanda kwa bei ya gesi nyambafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm wanazidi kutudidimiza kimaisha

DAR: BEI YA GESI YA MAJUMBANI YAPANDA
-
Mtungi mdogo ulikuwa Tsh 17,000 sasa ni Tsh 22,000, mitungi mikubwa Tsh 49,000 sasa ni Tsh 50,000 hadi Tsh 54,000
-
Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda.



Mfumo wa CCM ni Ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Sheria ya uchaguzi mdogo inasemaje, kwa muda ulobaki kwa uchaguzi mkuu;swali ni kama kuna uchaguzi mdogo tena
 
Back
Top Bottom