Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara
Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama
View attachment 1365143
Mbowe anasema bado wapo kibao kwenye chama chake, ingawa hakuwataja....Make sasa sasa ivi hakuna wasaliti.
Zanzibar hakuna ushamba huu mbona ina maana sheni ni bahili aujamaa yuko vzr kununua wapinzani maana maendeleo/uchumi vimemshinda
Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara
Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama
View attachment 1365143
Hakuna mswahili aungae bure yaani aulambe mkono mtupu.Mbona Zanzibar hayapo hayoWameona uchagizi unakaribia wanahama..wanafiki wote hao...kwani hawezi kumuunga mkono preze wakiwa kwenye vyama vyao
Mbunge wa Tandahimba (CUF), Katani Katani amejiuzulu Ubunge wake na kujiunga CCM ambapo amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally aliyepo ziarani Mkoani Mtwara
Bashiru amewasili Mtwara leo kwa ziara ya siku 3 huku akitarajiwa kukagua miradi ya maendeleo ya Wilaya za Mtwara Vijijini, Masasi pamoja na shughuli nyingine za Chama
View attachment 1365143
Vipi wapiga kura wa upinzani nao wamehama?
Mtu mwenyewe hata sufuria huna unazungumzia habari ya kupanda kwa bei ya gesi nyambafuJe, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu?, Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?
Wanabodi, Wanabodi, Ijumaa ya leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikiulizia kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?. Bandiko hili ni la swali moja...www.jamiiforums.com
DAR: BEI YA GESI YA MAJUMBANI YAPANDA
-
Mtungi mdogo ulikuwa Tsh 17,000 sasa ni Tsh 22,000, mitungi mikubwa Tsh 49,000 sasa ni Tsh 50,000 hadi Tsh 54,000
-
Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda.
Mfumo wa CCM ni Ujinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio habari tena!
Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu?, Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?
Wanabodi, Wanabodi, Ijumaa ya leo nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, leo nikiulizia kuhusu msimamo wa rais Magufuli kutosafiri nje hata kwa zile safari zenye maslahi makubwa kwa taifa, jee msimamo huo una Maslahi kwa Taifa?. Bandiko hili ni la swali moja...www.jamiiforums.com
DAR: BEI YA GESI YA MAJUMBANI YAPANDA
-
Mtungi mdogo ulikuwa Tsh 17,000 sasa ni Tsh 22,000, mitungi mikubwa Tsh 49,000 sasa ni Tsh 50,000 hadi Tsh 54,000
-
Watumiaji wamesema ongezeko hili linaongeza ugumu wa maisha kwani vitu vingi vimepanda.
Mfumo wa CCM ni Ujinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasi ipi ya magu inaleta kilio kwa upinzani? Kasi ya kuwanunua wapinzani cash kwa hela ya walipa kodi?
jamaa yuko vzr kununua wapinzani maana maendeleo/uchumi vimemshinda