Elisha2004
JF-Expert Member
- Feb 21, 2020
- 489
- 562
Haka kalikokaukiana kanakoonekana kana unyafuzi siyo ka Eliya Michael haka? Nako kamekuwa mwenge kanatembezwa nchi nzima? Ila ccm kwa kweli imefulia! Ila wakae wakijua hawapendwi na wananchi!
Vipi wapiga kura wa upinzani nao wamehama?
Wapinzani ile sera yao ya pinga pinga imegonga mwamba. Wamejiharibia baab kubwa.
Kila mmoja anakimbilia huko tu, sioni wanakwenda ACT Wazalendo..!
Akimbilie ACT kwani yeye ni Muha? CCM ndiyo inao wabunge wa makabila yote huko ACT sifa ni lazima uwe MuhaKila mmoja anakimbilia huko tu, sioni wanakwenda ACT Wazalendo..!