Ni kweliAisee Allah ampe kauli thabiti.
Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.
Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.
Siipendi CCM lakini kwa hili natoa pole za dhati. Natumaini mbegu yake (mtoto) imesalimika...
Kwenye hili kwa kweli huwa ninahuruma sana na kuwaombea mpite salama.Ni kweli
Asante Kwa niaba ya woteKwenye hili kwa kweli huwa ninahuruma sana na kuwaombea mpite salama.
Ngazi za juuUpstairs ni nini mkuu
Ila nimesikia sio maramoja kwamba kwa suala la operation ya uzazi hapa Tumbi wanapewa vijana bila ya uangalizi wa madaktari.
Hata muda huu Kama mtakwenda pale wodi ya wazazi mtakutana na walioshonwa sivyo, waliopasuliwa sivyo wanaugulia pale.
Tusiandikie mate
Matuta yanahatibu barabara ...yapigwe marufuku tz ...kuna technology nziri zaido zinaweza kutumika na kuzidi kulipendezesha taifa letu badala ya matutaHuyu ndiye alisema juzi kuwa matuta ya barabarani yapunguzwe kwa sababu yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa au ni mwingine?
Apumzike salama [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Kawaida tu
Pre or post natalKwhy ni maternal death.
Alikuwa anasafr uchungu ukamshika njian maeneo ya kibaha akafanyiwa upstairs lakini ndo hivyo haikuwa ridhiki
Aisee Allah ampe kauli thabiti.
Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.
Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.
Wabunge viti maalum Rukwa mmoja Mhaya mwingine Mnyakyusa.Huyu mhaya alipitaje huko rukwa
Rukwa wenyeji wako busy na shughuli za kijamii kusoma sio kivileHuyu mhaya alipitaje huko rukwa
Mara nyingi ahuwa hatufikirii kuwa mimba ni jatari kiasi hiki. Lakini pia tekolojia zetu za tiba bado ni duni sana.Aisee Allah ampe kauli thabiti.
Binafsi huwa nikiona mjamzito huruma huniijia sana ukizingatia hali ya siku hizi vifo vipo jirani sana japo tunajifariji kuwa tumeendelea kwenye sekta hii.
Kwa sasa ukisikia mkeo/mpenzio nu mjamzito basi lazima uwe muangalifu kwa kila hatua, sisemi kwamba Mh. hakuwa na uangalifu ila nazungumzia jamii yetu kwa asilimia kubwa Mungu tuu ndio anayetusimamia.