MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Saa tano imeshapita jamani vipi mbona kimya???
Au kabadili mawazo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Au kabadili mawazo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msiba hauzoeleki asikudanganye mtu.tushazoea...
kweli " mkuu" shilingi yaua" tena ni mauaBiashara ya binadamu inalipa sana, sema siku hizi binadamu wanajiuza wenyewe tofauti na zamani.
Why concluding kwamba ni wananchi wamechoka? Na siyo madiwani na wabunge kanjanja?Mtu kuhama chama siyo dhambi ni haki yake ya kidemokrasia. Sasa hili povu lote linalokutoka sijui ni la nini? Na kwa taarifa yako hapa watanzania ndo wameamka ndo maana wanawakimbia kila siku. Wamechoka na ulaghai na ubabaishaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamtaja?!!!😳
Umeniwahi mkuu,hapo chama hakina cha kupoteza maana watapewa fursa ya kupeleka jina jingine ili kukidhi idadi ya viti maalumu wanavyotakiwa kuwa navyo.Huyo, kaingia choo cha kike, chadema watapeleka jina lingine
Wanawake wa lumumba mnawashwawashwa sanaHii ni kwa mujibu wa tweet ya Polepole ambapo Katibu mkuu wa UWT atakuwa na mkutano na waandishi wa habari pale Lumumba. Nyepesi nyepesi zinadai mbunge huyo anatokea mkoa wa Singida. Habari hii imeripotiwa pia na kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds tv!
Swafiiii sana walahifomula imeshaharibika,chadema haipo monduli,buyungu na siha
Unategemea watastuka Leo au kesho labda wajukuuHakuna jipya, huyo sio wa kwanza na hiyo sio habari ya kushtua tena, fanyeni nnavyotaka maana watanzania wamelala usingizi wa pono, siku wakishtuka mtatamani ardhi ipasuke muingie ni suala la muda tu.
Mbunge wa Viti Maalum hawezi kujiuzulu kwa kuwa akifanya hivyo chama kilichomteua kitapewa nafasi ya kuteua mwingine. Ndo sababy CCM hawashughuliki kununua wabunge wa viti maalum.
Hilo la ruzuku za chdema sioni kama ni tatizo kwao bali kwa CCM.Acha kujidanganya ndugu. Jibu ni rahisi sana, ukiacha itikadi na mambo mengine siasa ni ajira pia. Wapo wabunge wengi wa Viti Maalum wanaotaka kuhama upinzani lakini wanashindwa kutokana na kuangalia mustakabali wa maisha yao baada ya kuacha ubunge. Tofauti na wabunge wa majimbo ambao wao wanauhakika wa kutetea majimbo yao na kurudi bungeni.
Fukuto la migogoro linaloendelea upinzani (ruzuku na Uongozi) limewafanya wabunge wengi kutaka kutoka/kuhama na hivyo kufanya kazi ya CCM kuwa rahisi sana, nayo ni kuwahakikishia nafasi zao za ubunge tu. Ndo maana unaona wabunge wengi wa majimbo ndiyo wanaohama kuliko viti maalum.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Polepole ambapo Katibu mkuu wa UWT atakuwa na mkutano na waandishi wa habari pale Lumumba. Nyepesi nyepesi zinadai mbunge huyo anatokea mkoa wa Singida. Habari hii imeripotiwa pia na kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds tv!