Uwiano wa wabunge utagoma kwa chadema. Hapo ni kusoma namba tu mzee baba!Umeniwahi mkuu,hapo chama hakina cha kupoteza maana watapewa fursa ya kupeleka jina jingine ili kukidhi idadi ya viti maalumu wanavyotakiwa kuwa navyo.
Sent using Jamii Forums mobile app