Tetesi: Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA kuhamia CCM leo saa 5.30 pale Lumumba!

Status
Not open for further replies.
Vipi kama ingekuwa ni habari ya Kiwanda kipya kinazinduliwa ,

Kuna mahali mmekwama sana ,mjitathimini upya.
 
Why concluding kwamba ni wananchi wamechoka? Na siyo madiwani na wabunge kanjanja?
 
Wanawake wa lumumba mnawashwawashwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viti maalumu si atateuliwa mwingine kupitia alikotoka, au hesabu itapigwa tena upya
 
Hilo la ruzuku za chdema sioni kama ni tatizo kwao bali kwa CCM.
 
Ni muda mwafaka kwa Mods kumpa Ban mleta Uzi. Moja, tweet ya H.Polepole haitoi Picha yoyote ya mtu kupokelewa, Ni mkutano wa katibu wa uwt! Pili, alipaswa kuiweka habari hii Kama tetesi, Jambo ambalo hakufanya. Napendekeza BAN!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

ulisema ni saa tano usiku ehh???
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…