Mbunge wangu Mwigulu umeshindwa kabisa!

Wabunge hawa tunawaonea tu, wao hawakusanyi kodi sasa hayo mnayotaka wafanye watazifanya kwa hela ipi?

Ni jukumu la serikali inayokusanya kodi kuratibu na kuzitumia kuleta maendeleo kwa wote bila ubaguzi.

Kama tutaendelea kuendekeza dhana ya kuwa mbunge ndio ataleta maendeleo, basi tutasubiri sana kwani akiitarifu serikali kuhusu mahitaji ya jimbo lake kisha serikali isitekeleze chochote sasa hapo atafanya nini!!

Inatakiwa tu-adopt mfumo wa majimbo (Decentralization) ili kila mkoa itumie rasilimali zake ipasavyo kujiletea hayo maendeleo, huu utaratibu wa sasa ni wa hovyo kwani rais anatumia fedha za umma kama turufu ya kutafuta sujuda kwa wananchi. This is a very stupid set up.
 
No usiziite siasa chafu kwasababu hakuna standards formula ya siasa safi. Mimi hii nimeiita ni Tanzanian Democracy ambayo ni part of African Democracy model.

P
 
Duh!. Jf kiboko!, watu mmenistukia!. Itabidi huu ushehe Yahya wa siasa za bongo niache!.
P
 
No usiziite siasa chafu kwasababu hakuna standards formula ya siasa safi. Mimi hii nimeiita ni Tanzanian Democracy ambayo ni part of African Democracy model.

P

Unatumia verified user, hivyo nitashangaa ukisema kuna siasa chafu. Hakuna cha Tanzania democracy au African model democracy, ni siasa chafu fullstop. Labda useme unafaidika nazo lakini sio kuzungusha zungusha maneno kaka.
 

Mkuu huwezi kuamini, hilo tatizo la wabunge kusemeka hawajafanya kitu, hata wabunge wenyewe nawasikia wakitamka mpaka ndani ya bunge. Huwa nawasikia wabunge wa ccm wakiwaambia wabunge wa upinzani, mnaogopa kwakuwa hajamfanya maendeleo yoyote kwenye majimbo yenu. Baada ya kujua wajibu wa mbunge, na ni nani hasa anapaswa kupeleka maendeleo, nikisikia mtu anasema mbunge hajaleta maendeleo napata kinyaa. Ni sawa na kumlaumu golikipa kwanini timu haina magoli ya kufunga wakati wajibu wake sio kufunga magoli.
 
Umwambie tena afute ule uchafu alio andika kwenye miamba, madaraja, na ma culvert kuwa yeye ni rais wa tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hilo la tume ya uchaguzi naona ni sisi tu tunaongelea humu mitandaoni, lakini sioni vyama vya upinzani wakizungumzia hilo. Leo nimesikia wanaongelea kuhusu wito wa viongozi wa ccm huko ikulu.
Kuna wakati tutapanga jinsi ya kuwaadhibu hawa viongozi tena hao tunawamudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ogopa sana mpaka makamba Jr binafsi yake ajaamua kama ata ombea au LA
 

sipo shule na sio mfatiliaji sana wakiswahili katika mahandishi ndio maana kukosea kupo.asante


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MWIGULU NCHEMBA ATAANGUKIA PUA KWENYE UCHAGUZI UJAO KWANI HATA JINA LAKE HALITAPITA 7BU KUBWA NI KWAMBA BWANA MKUBWA HAMTAKI, KUNA WATU HUMU WANASEMA WANAIRAMBA NDIYO WENYE SAUTI YA MWISHO NADHANI HAWAJUI UKUBWA WA MAMLAKA YA RAIS, HIVI KULE KWA TUNDU LISSU NI KWELI WANASINGIDA MASHARIKI NDIYO WALIOKUWA NA SAUTI YA MWISHO KWA YALIYOTOKEA?
JANUARY,FEBRUARY, NAPE,MWIGULU HAWATA TEULIWA 2020 KUGOMBEA UBUNGE MKULU HAWATAKI HAWA WATU KABISA KWANI WALIONYESHA TABIA ZA KUJIMWAMBAFAI KUMZIDI MALAIKA.
 
wakati anaaguza mrekodi kama ulikiwapo ama ukiwapo....kuhisi kitu kisha ukakiamini ni ugonjwa wa kisaikolojia..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Mwigulu ana hata kibanda Iramba??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeonaee
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni nani kukataza watu kutumia haki yao kumtaja Mh.Magufuli.Yaani unataka kuwafanya watu wamuogope Mh.Magufuli kisa ni Rais ?? Tusijione kua sisi ni bora na miamba kwakua ni wasukuma na tupo Ikulu.@Pascal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…