mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Ndio mkuu, na unatakiwa ufuatilie temperament(tabia) ya mbwa unaetaka kufuga, kuna ambao ni wagumu kufuga na wanahitaji mafunzo mengi...Sasa wao wanawafunga kwa kuwafungia bandani Usiku walinde wanapata stress za kufungiwa na hawapati mazoezi
Watu hawajali.