Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni protocol nahisi mnyama yeyote anayemshambulia binadamu huuliwaKwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa
Yaan hakuna sindano ya usingizi
bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfadUsiku wa kuamkia leo Tarehe 8/1/2023 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa ni Mke wake pamoja na watoto.
View attachment 2865985
Walikuwa Mbwa aina ya Bull dog ambao anawafuga kwa ajili ya ulinzi nyumbani kwake Usagara, Mbwa hao walimshambulia binti yake wakati ametoka nje usiku huo wa saa Nne akiwa amesindikizwa na kaka yake, mara baada ya uvamizi huo kijana mwingine na mama yao walitoka kutoa msaada lakini Mbwa hawakuwatii na kuwashambulia wote.
Wote walioshambuliwa na Mbwa sio wageni kwa Mbwa hao kwani wamekuwa wakiwahudumia kwa chakula, baada Familia hiyo kujinusuru na kukimbilia ndani Mbwa waliendelea kuwa wakali na hapakuwa na uwezekano wa kuwapatia huduma majeruhi kwani hakuna alieweza kuingia wala kutoka ndani ya uzio.
Wakati haya yanatokea Kunju alikuwa kazini zamu ya usiku na alipigiwa simu kujulishwa juu ya tukio huku na kuambiwa mmoja wa majeruhi ana hali mbaya, Tulibahatika kufanya mawasiliano na Polisi kituo cha Misungwi ili waweze kufika eneo la tukio waue Mbwa ili msaada kwa majeruhi Upatikane.
Kwa ushirikiano na Zombwe na Lenox tulifanikisha kumtoa Kunju Kazini ili akashiriki uokoaji. Polisi walifika Nyumbani kwa Kunju majira ya saa saba usiku wakitanguliwa na watu wa Maliasili na wafanikiwa kuwapiga risasi Mbwa wote wawili na Majeruhi wakapelekwa Hospilali ya Cf kwa Matibabu.
Majeruhi wote wanaendelea vizuri, Shukrani kwa wote walioshiriki Kwenye utatuzi bila kumsahau Sheik Abdallah Omari.
C & P FROM X
- Pdizaina05
Hao mbwa ni rahisi mno kuvamiwa na mapepo na ndio maana hupoteza kumbukumbu kwa sababu huvamiwa mara kwa mara na mapepo.Ukimpiga ya usingizi then, hao mbwa washaathirika kisaikolojia hawafai tena for domestication.
Naunga mkono hojaUkifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Naunga mkono hojaHii mimbwa sijui watu wanaipendea nini! Kila siku wanaua wenyeji wao ila watu bado wapo tu kuifuga.
B… isijekuwa na wewe unapenda hii mimbwa jamani! Mdakuzi
We bwashee 😂😁😁😁😁🤣🤣🤣😂😁Hao mbwa ni rahisi mno kuvamiwa na mapepo na ndio maana hupoteza kumbukumbu kwa sababu kuvamiwa mara kwa mara na mapepo.
Walokole mmeanza mnazingua sana nyie viumbeHao mbwa ni rahisi mno kuvamiwa na mapepo na ndio maana hupoteza kumbukumbu kwa sababu kuvamiwa mara kwa mara na mapepo.
Mzee Kingunge naye alikumbwa na mkasa kama huu, ila kwa Misungwi huenda walikuwa mbwa mtu usishanga siku chacche kuwaona mbwa wamerejea wakiwa wazima na furahaWakati haya yanatokea Kunju alikuwa kazini zamu ya usiku na alipigiwa simu kujulishwa juu ya tukio huku na kuambiwa mmoja wa majeruhi ana hali mbaya, Tulibahatika kufanya mawasiliano na Polisi kituo cha Misungwi ili waweze kufika eneo la tukio waue Mbwa ili msaada kwa majeruhi Upatikane.
Cheki dude hiliUsiku wa kuamkia leo Tarehe 8/1/2023 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa ni Mke wake pamoja na watoto.
View attachment 2865985
Walikuwa Mbwa aina ya Bull dog ambao anawafuga kwa ajili ya ulinzi nyumbani kwake Usagara, Mbwa hao walimshambulia binti yake wakati ametoka nje usiku huo wa saa Nne akiwa amesindikizwa na kaka yake, mara baada ya uvamizi huo kijana mwingine na mama yao walitoka kutoa msaada lakini Mbwa hawakuwatii na kuwashambulia wote.
Wote walioshambuliwa na Mbwa sio wageni kwa Mbwa hao kwani wamekuwa wakiwahudumia kwa chakula, baada Familia hiyo kujinusuru na kukimbilia ndani Mbwa waliendelea kuwa wakali na hapakuwa na uwezekano wa kuwapatia huduma majeruhi kwani hakuna alieweza kuingia wala kutoka ndani ya uzio.
Wakati haya yanatokea Kunju alikuwa kazini zamu ya usiku na alipigiwa simu kujulishwa juu ya tukio huku na kuambiwa mmoja wa majeruhi ana hali mbaya, Tulibahatika kufanya mawasiliano na Polisi kituo cha Misungwi ili waweze kufika eneo la tukio waue Mbwa ili msaada kwa majeruhi Upatikane.
Kwa ushirikiano na Zombwe na Lenox tulifanikisha kumtoa Kunju Kazini ili akashiriki uokoaji. Polisi walifika Nyumbani kwa Kunju majira ya saa saba usiku wakitanguliwa na watu wa Maliasili na wafanikiwa kuwapiga risasi Mbwa wote wawili na Majeruhi wakapelekwa Hospilali ya Cf kwa Matibabu.
Majeruhi wote wanaendelea vizuri, Shukrani kwa wote walioshiriki Kwenye utatuzi bila kumsahau Sheik Abdallah Omari.
C & P FROM X
- Pdizaina05
Kila siku watu wanapata ajali na kufa wengine wanapata vilema vya maisha kwa sababu tu ya magari/bodaboda. Vipi na upande huu unatushauri nini dada?Hii mimbwa sijui watu wanaipendea nini! Kila siku wanaua wenyeji wao ila watu bado wapo tu kuifuga.
B… isijekuwa na wewe unapenda hii mimbwa jamani! Mdakuzi
🤣😂😁Cheki dude hiliView attachment 2866051
Usingizi ili iweje? Washambulie wakiamka!!Kwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa
Yaan hakuna sindano ya usingizi
Apastro kuna muujiza huku.Hao mbwa ni rahisi mno kuvamiwa na mapepo na ndio maana hupoteza kumbukumbu kwa sababu kuvamiwa mara kwa mara na mapepo.
Noma
Mbwa hawezi kupoteza kumbukumbu. Inawezekana hao wanafamilia hawajazoea kuwa nje muda huo hivyo kupelekea mbwa kutowatambua badala yake wameonekana kama wavamizi, wezi n.kHatari sana, na Wanatabia ya kupoteza kumbukumbu
Wapi huko?Apastro kuna muujiza huku.
Mbwa wa kufuga kwa ulinzi hao koko na gs,breed zingine usithubutu kuweka karibu na familia yako hasa hao bulldog na rottiweilerBora nibaki na Makoko yangu kuliko hao mambwa ya maabara!
Msiba wa kujitakia hauna kilio.Kila siku watu wanapata ajali na kufa wengine wanapata vilema vya maisha kwa sababu tu ya magari/bodaboda. Vipi na upande huu unatushauri nini dada?