HLM
Member
- Feb 12, 2021
- 74
- 194
[emoji38][emoji38]Bora nibaki na Makoko yangu kuliko hao mambwa ya maabara!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38]Bora nibaki na Makoko yangu kuliko hao mambwa ya maabara!
Ndo mana nimeshauri Fuga mbuzi, ushawai sikia mbuzi kang'ata mtu wewe je ushawai sikia mbuzi kampiga free kick mtu.Hata ng'ombe kuna mmoja alishawahi kumuua Boss wake huko kijijini
Wengine wanakuwa na visirani na kuna mmoja ashawahi kunitimua mbio
[emoji2][emoji2][emoji2]Mzee Kingunge naye alikumbwa na mkasa kama huu, ila kwa Misungwi huenda walikuwa mbwa mtu usishanga siku chacche kuwaona mbwa wamerejea wakiwa wazima na furaha
Nini kimetokeaApastro kuna muujiza huku.
Bora ubweke mwenyewe sio [emoji1787]mbwa mliemfuga kawageukia si bora mfuge mbuzi utakunywa mchuzi? mimi mbwa wa nn si bora nibweke mwenyewe usiku kucha kukimbiza wezi kuliko majanga ya kujitakia
eeh shida si mlio tu?Bora ubweke mwenyewe sio [emoji1787]
Hao mbwa hapo walipofikia uwezi Tena kuwageuza kuwa Good Boys.Wameshageuka mashetani- dawa ya Mashetani Ni bullets tuKwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa
Yaan hakuna sindano ya usingizi
Hao ni Crossbreeding iliyofanyika maabara,ina maana hao mapepo wavamie bulldog tu wasivae hawa mbwa koko wetu wa mtaani?Kama hujui ni heri uulize nikupe somo, mapepo yanaweza kuvamia kwa mnyama na kuweka maskani kichwani pake.
Hili Jibwa Lina sura ya kisasi sana,😳Jibwa kama hili unalifuga ili iweje?
View attachment 2866035
Masai walikuwa zamani. Siku hizi ni wataalamu wa kuchora michoro na kuwapa ramani wezi. Utakuta nyumba inavamiwa na masai wako kafungwa kamba mikononi kama geresha tu.Duh! Pole sana kwa familia kwa majeraha.
Mbona ni balaa sana km vile unamfuga simba/chui.
Naona wamenikatisha kabisa tamaa ya kufuga mbwa sasa! Itabidi tu niwe na masai sasa!
Inaonekana ulikazidishia msotoMimi na kambwa koko kangu nilikanunua sasa nikawa nakatrain kwa kukapiga na kukapa mateso kama walimu wa mbwa wa jamiiforums walivyosema , ajabu kalipopata mpenyo wa kutoka getini hili ni juma la tano hakajarudi nyumbani nikimuona mtaani ni mwendo wa mbio tu [emoji848]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukifuga mbwa unatakiwa umzoeshe watu tokea akiwa mdogo, na uwe unampa mazoezi ya kutosha, haswa mbwa wakubwa wenye nguvu.
Watu wanakariri kufuga mbwa wa kizungu fashion, kama unamnunua ili akae bandani atoke usiku tu bora uache.
Hapa ni kujitafutia matatizo, sura kama limekula ngada.Jibwa kama hili unalifuga ili iweje?
View attachment 2866035
Hata kama ilifanyika maabara pepo akiona upenyo tu hutinga ndani ya bongo na kuuthibiti.Hao ni Crossbreeding iliyofanyika maabara
Sijasema kwamba mapepo huvamia bulldog pekee, mapepo yanaweza kuvamia mbwa koko, binadamu, nguruwe nk.maabara,ina maana hao mapepo wavamie bulldog tu wasivae hawa mbwa koko wetu wa mtaani?
Nachokisema hapa sijakitoa kwa mchungaji bali nimechunguza mwenyewe kwa kusoma vitabu mbalimbali ikiwemo Biblia.Tumia hata ufahamu wako kidogo tu maana akili zote mmewaachia wachungaji wafanye chochote wanachotaka.
Kwani hiyo rabies inapokuja akili za mbwa huhamia wapi?Halafu kingine unaijua rabies?
Eti linasasambua[emoji23]Unatumia gharama kulilisha misosi hasa nyama baadae linasasambua wanafamilia. Na yana nguvu balaa
Sitaki huo upuuzi kwangu[emoji706]
Kwa taarifa yako hata mbuzi anaweza kupagawa na mapepo na akakutoroka zizini 😂😁🤣 Bora tufuge mbuzi 🐐🐐🐐🐐🐐🐐