Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Daah watu wanafuga Simba bila kujua hao sio mbwa wa kawaida na wana nguvu mno niliwahi kuona jamaa alimfunga na mnyororo wa kawaida kwenye pick up yake nyuma akamwacha baadae yule Bulldog alitoka kama ajafungwa kitu na kuruka nje ya gari bahati nzuri aliemfata kumjeruhi alimchapa risasi bila kujiuliza ilikua maeneo ya Centurion na muhuni aliondoka kama hakuna tukio lililotokea..
 
bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
🤣🤣 hamna kitu kichwani...nguvu tu.
 
bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
Kichwani hamna kitu sio [emoji1787]
 
Back
Top Bottom