Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ni balaa sanaNoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni balaa sanaNoma
Nakazia📌📌📌📌Msiba wa kujitakia hauna kilio.
😂🤣😁😁😁Mbwa wa kufuga kwa ulinzi hao koko na gs,breed zingine usithubutu kuweka karibu na familia yako hasa hao bulldog na rottiweiler
Koko ukimfuga kizungu na mafunzo juu anakuwa mbwa poa tu 😀Tatizo la mikoko hata uilishe vizuri namna gani lazima wapite jalalani 🤪
Kama hujui ni heri uulize nikupe somo, mapepo yanaweza kuvamia kwa mnyama na kuweka maskani kichwani pake.Walokole mmeanza mnazingua sana nyie viumbe
Nipo serious bwashee mkuje tu vijiswali vyenu nitawajibu 😂We bwashee 😂😁😁😁😁🤣🤣🤣😂😁
Ndio suluhisho. Unadhani wangewapeleka wapi baada ya hapo!?Kwa hiyo maliasili wakawaua badala ya kuwapiga risasi ya usingizi wao ni kuua tu hovyo kabisa
Yaan hakuna sindano ya usingizi
Wa hovyo kabisa..Huwajui breed hii ya mbwa mzee!
Hawa hata wafugwe na malaika na wamzoee toka akiwa mdogo bado watamnyofoa mapumbu siku 1.
Hii breed hii ya mbwa hawanaga kumbukumbu, uwezo wao wa kufikiri haujafikia GB, siyo MB, ana memory capacity ya KB 11
JobTrueTrue 🤣🤣Ni balaa sana
🤣🤣 hamna kitu kichwani...nguvu tu.bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad
Mala walisha pigwa marufuku mala awafugwi na masikini unaota auHao mbwa hawafugwi na mtu masikini kama afugae mbwa Koko.
Hao walishapigwa marufuku kufugwa
😁🤣 Bora tufuge mbuzi 🐐🐐🐐🐐🐐🐐Nipo serious bwashee mkuje tu vijiswali vyenu nitawajibu 😂
Chukua kimojaMala walisha pigwa marufuku mala awafugwi na masikini unaota au
Hata ng'ombe kuna mmoja alishawahi kumuua Boss wake huko kijijiniJamani tujitaidi kufuga mbuzi tunywe michuzi hizi mbanga nyingine ni gharama kuzifuga alafu Zina asilimia kubwa zikakusababishia ujane Na kukuzikia watoto
Kichwani hamna kitu sio [emoji1787]bahati ni kwamba meno ya bull dog hayana ncha kali kama german sherfad au rottweiler,meno yao yapo kama punje za mahindi,,lakini kiuhalisia bull dog hawana akili wala kumbukumbu nzuri,na ni wazito sana wakati kuwafundisha,ni mbwa niliobahatika kuwafundisha lakini kichwani hamna ki2 tofauti na german shrfad