100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Kama ana minyoo si anatibiwa.Haka kambwa kamejaa minyoo tu kwenda kuambukiza wengine. Ndo unataka kuuzia watu kifurushi cha minyoo? Ondoa hii picha kanatika kichefu chefu. Tafuta pesa kama 300,000 tafuta mtu mpe hiyo pesa na haka kaminyoo home.
Hakuna mbwa wa 200,000 hapo. Hako kambwa ni ka kugawa bure ili kukaokoa na magonjwa, utapiamlo na kifo.Kama ana minyoo si anatibiwa.
daah , wabongo ni wabongo tuu , minyoo atoe wapi ? huyo hali ugali na vichwa vya dagaa kama hao mbwa wenuHaka kambwa kamejaa minyoo tu kwenda kuambukiza wengine. Ndo unataka kuuzia watu kifurushi cha minyoo? Ondoa hii picha kanatika kichefu chefu. Tafuta pesa kama 300,000 tafuta mtu mpe hiyo pesa na haka kaminyoo home.
mkuu hujaona nimeongeza picha zingine ? au una lipi la kusemaWe huoni aina ya upigaji picha ni kama amekapiga picha kwanza kwa kuibia ili atafute mteja akimpata ndio akakaibe kwa mwenyewe?
Mbwa kama nyanpicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043
sa mkuu ulitaka nisingemfunga mkanda , nimemfunga kwa muda tuu , ulitaka nikanunue chain ndio nirud kumfunga , unadhani ningemkuta ?unachomfanyia huyo mbwa hapana kwa kweli
ukiwa mshamba halaf mjuaji ni tatizo sana ..mkuu we umezoea wale mbwa koko wa jalalani , hawa mbwa wa watoto wa kishua , usitegemee kuwaona wanazagaa mtaani kwenuMbwa kama nyan
unatak nimgawe bure? bas njoo nikupeMbwa umeokota tayari ushajipangia na bei duh aiseee
Mimi hapa ndio zinaniua mbavu na giza lote hili ๐๐๐๐๐๐. Mtoa mada anakwepa mishale kadri awezavyoComments za watu na majibu ya mleta mada nimecheka mpaka machozi๐๐
mkuu kuna watu wengine ndio walivyo , mtu ana hate hadi mbwa , cjui hiyo minyoo yeye ndio alimuambukiza,Kama ana minyoo si anatibiwa.
Mbwa ana stress hivi kama analipa kodi unamlisha kweli huyu? Huo mkanda uliomfunga shingoni wenyewe unamzidia uzitopicha zaid hizi hapa , location mwanza
View attachment 2949041View attachment 2949042View attachment 2949043