Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
 
Ulikuwa muted muda mrefu mpaka watu humu wakaanza kuulizana uko wapi ilibaki kidogo watangaze tanzia ila toka hili sakata la waarabu wenzako (though wewe mweusi kama lami) lianze naona upo nginja nginja jukwaa zima unakata mauno kila siku unatoa post mpya kuwasifia.

Umepewa bei gani maana juhudi hizi siyo za mtu aliyekuwa hajalipwa.
 
Dp world siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu...
Dollar million 500 Tanganyika hakuna hadi kwenda kumpigia magoti mwarabu?

Huyu mama tangu alipoanza kwenda kwa Oman kuonana na wajomba zaje, nilijua kitakachotokea ni kile kile cha mwinyi na Loliondo.
 
Dp world siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu...
"Mkuu upo jf kitambo, ongea na da Faiza foxy niliona hashtag zake kuhusu DP world anipe connection tupo wawili. Tuna uwezo wa kupush agenda san mitandaon, mtaan njaa kali angalau tuingizwe kweny payroll mkuu! Ahsnt." Huu ni ujumbe jamaa kanitumia DM nimeona niulete kwako bi Faiza. Wasalaam!!
 
Dp world siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu...
Sioni tatizo la hao DP cha muhimu vipengele tata vya mkataba vibadilishwe. Huwezi kuwa na mkataba wa milele au kuwapa wageni wahodhi bandari zote nchini
 
Sioni tatizo la hao DP cha muhimu vipengele tata vya mkataba vibadilishwe. Huwezi kuwa na mkataba wa milele au kuwapa wageni wahodhi bandari zote nchini
Mkataba uwe kama huu hapa👇Na uhusishe bandari ya Dar na Zanzibar tu.
 

Attachments

Back
Top Bottom