OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
DP niwekeni kitengo cha Machawa niwashangaze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ubishani uliopo wa kumpinga mama Samia, bila sababu yoyote ya maana, umenifanya niamini Watanzania tumejaa chuki uhasidi na roho mbaya...
Huyu ajuza ni mdini sn hana loloteUdini tuu umekukaaa Huna kingine
Zaidi ya kuchangia kwa kihisia za Dini yakoo
Hakuna asiye kujua
Ungana na mama yako anyeonge maneno ya kutia hurum huko Mwanza
Anajua akiuza huku nchi atarudi kwao MakunduchiHatuna mashaka na utendaji wao wa kazi. Wapo vizuri mnoo. Tatizo letu ni huu mkataba unamaslai gani kwa taifa na mkataba ni wa miaka mingapi ?? Na kwanini iwe bandali zote Za TZ bara ?? Kama ni mkataba mzuri kwa nini na bandari za zanzibar zisijumuishwe ? Ili tupate manufaa zaidi ??
Ma shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Najivunia kuwa Muislam na kuwatetea Waislam wenzangu kwenye haki.Udini tuu umekukaaa Huna kingine
Zaidi ya kuchangia kwa kihisia za Dini yakoo
Hakuna asiye kujua
Ungana na mama yako anyeonge maneno ya kutia hurum huko Mwanza
u uhavi wagomilwe IPO de IPOKanisa Moja Takatifu la Mitume
Lukuvi!
Kwani hujui kimuungano tunashirikiana kwa sheria 1. ya bandari ??Kwani mama ni raisi wa zazibar acha ujinga.....zazibar ina raisi wake na Tanganyika inawakwake
A staggering TZS 1.5 TRILLION!!!!Dp world siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
500ml$ ni za uwekezaji, sio kwamba anatoa sada kalawe, na pia inabidi zirudi Kwa muda Fulani walio jiwekeaDp world siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Siasa haziwezi kuacha kuwepo kwa sababu Mama ametisha mno kwenye dili hili! Wewe mtu akikutishia huwa unakaa kimya?Niwe mkweli tu mi nawakubali DP World.
Tuache siasa
jinga wewe udini utakuua, unaishi maisha magumu haswa sababu ya uvivu wako, mabibi wenzako wanafanya kazi wewe kutwa kusifia ujinga badala ya kulinda rasilimali za nchi.Sana tena, najivunia dini yangu ya Uislam.
Wewe liinakuumiza hilo?
Na wewe jivunia imani yako au unaona haya, una imani ya paka kunya mavi kujipaka?
Mpuuzi mkubwa, Pwani na Dar wamejaa watu wa mikoani nyie mnacheza bao sababu ya ujinga wenu na uvivuMa shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Najivunia kuwa Muislam na kuwatetea Waislam wenzangu kwenye haki.
Wewe unaumia kwa Uislam wangu?
AlhamduliLlah, Uislam unatufundisha kukaribisha yeyote mwenye kutafuta maisha. Tunafahamu huwezi kuhama kwenu kama hakuna dhiki.Mpuuzi mkubwa, Pwani na Dar wamejaa watu wa mikoani nyie mnacheza bao sababu ya ujinga wenu na uvivu
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Mnashinda kucheza bao watu wanakuja wanatajiri, tafuta muislamu tajiri(mtanzania halisi) tofauti na waarabu na wahindi, taja hata mmojaAlhamduliLlah, Uislam unatufundisha kukaribisha yeyote mwenye kutafuta maisha. Tunafahamu huwezi kuhama kwenu kama hakuna dhiki.
Uislam ni mwema sana.
we ajuza umeelaniwa ndiyo maana uliachwa na mumeo sababu ya ujinga wakoUna fikra za kimaskini.
Nenda basi kalale bandarini, si mali yako?
Naona umelamna kitengo kimyakimya halafu hata hatutonyani!DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Sawa wakati unachangia mambo ya public usiletee hisia zakooMa shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Najivunia kuwa Muislam na kuwatetea Waislam wenzangu kwenye haki.
Wewe unaumia kwa Uislam wangu?