Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Haya bado ni masimulizi ya alfu Lela ulela,hakuna facts/data.
Naona misifa TU inatiririka,
Mkapa alifanya hivyo wakati wa Netgroup solution,waliokuja kuongoza tanesco,mkapa aliwaingiza kwa nguvu,mwishowe tulipigwa,mpaka tukashika adabu,mwishowe ikabidi awatimue
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Waislam mna mpango mbaya na hii nchi yetu TUMESHASTUKA
 
we ajuza umeelaniwa ndiyo maana uliachwa na mumeo sababu ya ujinga wako
Niachwe mimi uumie wewe? majanga! Ahsante na pole sana kwa kunipenda kisi hicho cha jukuumia nikiachwa.


Stahamili dawa ikuingie. Mama anaupiga mwingi.
 
Noma sana, kwa hizi akili tunastahili kutawaliwa. Kawekeza $500m basi sifa kedekede kwa muarabu. Kwamba tulishindwa, kumbe hatuwezi...shame on her!!
 
Haya bado ni masimulizi ya alfu Lela ulela,hakuna facts/data.
Naona misifa TU inatiririka,
Mkapa alifanya hivyo wakati wa Netgroup solution,waliokuja kuongoza tanesco,mkapa aliwaingiza kwa nguvu,mwishowe tulipigwa,mpaka tukashika adabu,mwishowe ikabidi awatimue
Miezi mita tu ya utafiti tayari tumeshawapiku Mombasa.

DP World si mchezo.
 
Kwani kuna mwana nchi anae jua makubaliano/mkataba/ memorudum, ya muungano ndo maana tunakua na wa bunge kutuahakilisha sio haki ya kila mwana nchi kujua details za mkataba impossible
Iwe kwa vyoyote itakavyokuwa kero kuu ya bandarini ilikuwa ni utitiri wa garama na Kodi Je! Chini ya DP je! bandari zetu zitakuwa Free port kama Dubai? Kama SIVYO basi hakuna kipya MWANANCHI wa kawaida atafurahia
 
Noma sana, kwa hizi akili tunastahili kutawaliwa. Kawekeza $500m basi sifa kedekede kwa muarabu. Kwamba tulishindwa, kumbe hatuwezi...shame on her!!
Huo ni mwanzo tu. Bashraf tu hiyo.


Usisahau tehama inavyotusumbuwa kusomana miaka yote. mwarubaini wanao sasa.
 
Iwe kwa vyoyote itakavyokuwa kero kuu ya bandarini ilikuwa ni utitiri wa garama na Kodi Je! Chini ya DP je! bandari zetu zitakuwa Free port kama Dubai? Kama SIVYO basi hakuna kipya MWANANCHI wa kawaida atafurahia
Changamkia fursa, ingia hapa:

 
Akiwa katika shughuli ya kupokea RIPOTI ya CAG na TAKUKURU ,kipenzi mh.Rais SSH alilalama sana juu ya MIFUMO YA TEHAMA kutosomana "vyema" Kati ya TPA na TRA.....

Kumbe MIFUMO haitakiwi kusomana ili "mafisadi" waendelee "kuzoa mipesa" na kulifanya taifa lisisonge mbele.....hatari sanaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mh.Mbowe ANATUMIKA na akina nani ?!!!

Mh.Mbowe anatumikia maslahi ya akina nani ?!!![emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingii[emoji2956][emoji7][emoji7]



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Ndio bei tuliyonunuliwa hiyo.
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.

mkuu kwani hiyo bandari si ipo kwa miaka 60 sasa mikononi mwetu mbona tumeshindwa?
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Watu milioni 60 kitu gani wewe!Marekani ana watu milioni laki 3 na bandari zake anaendeshewa na kampuni za Uingereza.
 
Changamkia fursa, ingia hapa:

Hizo zote ni mbwembwe , waulize wataifanya bandari kuwa free port kama Dubai? Maana Sasa hivi magari tunanunua bei rahisi tunakutana na Kodi mara mbili yake. Kama watasema lolote kuhusu hilo nitawasapoti
 
Back
Top Bottom