Enheee tayari tayarii umeshachanganyikiwa kwa ujinga ulionao [emoji1787][emoji1787]
Unataka uwekezaji gani ?!!![emoji1787]
Bandari limekuwa pango la kutufanya tuwe vichekesho kama taifa..... MIFUMO ya TEHAMA kutosomana ni njia ya "mafisadi wachache"....
Leo anatokea "shetani" na kukuambia kuwa anakwenda kuifanya bandari ituingizie NUSU YA BAJETI YA NCHI ya kila "fiscal year" unaamua kuishia tu kusema "TOKA PEPO TOKA SHETANI PEPOO"?!!![emoji1787][emoji1787]
Utakuwa ni mgonjwa unayestahili matibabu pale "ACUTE" WODI NAMBARI 14 MIREMBE....unakamatwa ,unachomwa sindano ya "modicate" na safari inaanza kukupeleka Dodoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingiiii[emoji7][emoji2956][emoji2956]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app