johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii Bandari kachukua PKKaribia tutasikia Bahima Empire imeshirikiana na Dubai ili waitwae Bandari yetu.
Aliisotea Muda mrefu sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Bandari kachukua PKKaribia tutasikia Bahima Empire imeshirikiana na Dubai ili waitwae Bandari yetu.
Zipo shida management .Dollar million 500 Tanganyika hakuna hadi kwenda kumpigia magoti mwarabu?
Huyu mama tangu alipoanza kwenda kwa Oman kuonana na wajomba zaje, nilijua kitakachotokea ni kile kile cha mwinyi na Loliondo.
Mimi naona wanachelewa kuuza uswahilini itoweke hapa Dar.Niwe mkweli tu mi nawakubali DP World.
Tuache siasa
[emoji7]Tushaumia sana sasa ni wakati wa kufanya biashara za kimataifa, win win situation.
[emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji7]
Hebu msikilizeniMbarawa anavyozipangua hoja za wapotoshaji.
Hakuna mkataba wa milele bro watu wanachanganya habari kwa vitu wasivyovijua. Achana na wapotoshaji, hakuna mkataba wa milele. Kwanza ni ujuha wa kiakili kutafuta timeframe kwenye IGA badala ya mikataba halisi ya kibiashara baina ya DP World na TPA.Sioni tatizo la hao DP cha muhimu vipengele tata vya mkataba vibadilishwe. Huwezi kuwa na mkataba wa milele au kuwapa wageni wahodhi bandari zote nchini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanini hakuwekeza?
Si tumewaona TICTS? Miaka zaidi ya 20 wamefanya nini? Watanzania kina Karamagi.
Unataka turukemkojo tukanyage. nya? Mama Samia kalistukia hilo.
Hapo ndiyo lilipo tatizo mkataba wa milele. Hatukatai hata ingekuwa Samia Suluhu Group of Companies suala ni Mangungu PactSioni tatizo la hao DP cha muhimu vipengele tata vya mkataba vibadilishwe. Huwezi kuwa na mkataba wa milele au kuwapa wageni wahodhi bandari zote nchini
[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]alikataa kuhongwa na maccm
Hapo unazungumzia Til.1.4 sio pesa ya kitoto hiyoDP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Sasa kukaa kwao kimya na kutumia nguvu nyingi kunawapa watu justification. Si mara ya kwanza CCM kuiingiza kingi nchi kwenye mikataba ya ovyo. Lazima watu wahoji. Kwanini kuhoji kuwe tatizo?Hakuna mkataba wa milele bro watu wanachanganya habari kwa vitu wasivyovijua. Achana na wapotoshaji, hakuna mkataba wa milele. Kwanza ni ujuha wa kiakili kutafuta timeframe kwenye IGA badala ya mikataba halisi ya kibiashara baina ya DP World na TPA.
Mbona mfumo hou upo tangia zamani mimi nilianza kuagiza vitu toka china mwaka 2004 unapewa tracking number ambayo inaonyesha kila hatua ya mzigo wakoDP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Ni swala la muda tu watu wataondolewa kisayansi tuMimi naona wanachelewa kuuza uswahilini itoweke hapa Dar.
Intelegency ya nchi iwe makini wasije ungia na ka link ka KUTOROSHEA FEDHA NJE direct 😬😬😬 sijawahi kuuona wema wa waarabu hata siku moja,kwa kuongea utadhani wema kweli.DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Wakitwaa narudi kwetu RwKaribia tutasikia Bahima Empire imeshirikiana na Dubai ili waitwae Bandari yetu.
Mwendokasi hapo mnasimamisha watu kama maroboto ya pamba na kujaza mbuzi, kamradi kadogo tu kamewashinda mambo makubwa mtaweza?Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Ndio hivyoNdiyo maana sikutaka hata kupiga hesabu kwa pesa zetu. Kumbe ni mipesa mingi namna hiyo.