Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Upuuzi mtupu. Dola 500m unaona ni pesa ya ajabu sana?

Barrick awamu ya kwanza tu waliwekeza dola 600m kwenye mgodi mmoja tu wa Bulyanhulu.

Dangote awamu ya kwanza tu aliwekeza dola 700m.

Kampuni ya Brazili ilitumia dola 760m kwenye utafiti tu wa mafuta.

Tuliwakataa Rio Tinto walioraka kywekeza dola billion 3 kwenye mradi wa chuma wa Liganga.

Bomba la gas, iliwekezwa dola bilioni 1.

Halafu wewe unaona kama dola 500m italeta mabadiliko makubwa sana kwa Tanzania.

Ninyi ndio mnaambiwa kuwa mkipata ...... yanalua mbwata.

Hivi sisi kama nchi unaamini tunashindwa kupata dola 500m? Labda ingekuwa dola bilion 500, hapo kweli pangekuwa parefu.
 
Mbona tayari, umelala? Msikilize Mbarawa chini hapo 👇🏾


Hapana, siyo "kulala"; pamoja na maelezo hayo yanayoonekana kuwa mazuri kama umelaza akili, Profesa naye anasema uongo humo humo ndani yake.
Hii dhana ya 'Private sector' pekee ndiyo yenye uwezo wa kuendesha bandari kaitoa wapi? Ni msahafu toka peponi uliotelemshwa kwake, au kakaririshwa tu awe anauimba kila mahali?

Usinielewe kuwa napinga 'private sector', lakini siamini jambo hilo kuwa kama ndio hitimisho la suluhisho.
 
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa[emoji1484]

Sheikh Mohammed bin Rashid meets Tanzanian President at Expo 2020 Dubai​

Vice President and Ruler of Dubai and Samia Suluhu Hassan discussed ways to boost co-operation between their countries during talks​

Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office

The leaders witnessed the signing of a memorandum of understanding between the two countries.

Expo 2020 is hosting a day of celebrations for Tanzania, to promote the country's products and opportunities.'s products and opportunities.

Sheikh Mohammed and Ms Hassan discussed strengthening ties, particularly in investment and economic and development areas.


Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia... Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office


Gillian Duncan author image
Siku ambayo Watanganyika hawataisahau daima kuuza mali zao kwa Waarabu.
 
Kama ni kweli uyasemayo, pamoja na kwamba siyo mambo mapya sehemu nyingi duniani kwa sasa hivi; basi ni kazi hiyo pekee inawatosha. Waifanye kwa ufanisi.
Haya mengine ya wao ndio wawe kila mahala, na bila kujua kwa muda gani achana nayo.

Tukitaka wafanye na hizo nyingine tutaamua sisi kwa wakati wetu kuwapa wao au tuwape wengine, au tufanye sisi wenyewe.

Katika uliyoeleza hapo kwa mbwembwe ni kama unaamini kuwa wataipeleka mwezini Tanzania kwa uwezo walio nao wao pekee!

Hiyo 500 wamekwambia watawekeza kwa muda gani? Isije ikawa ni matamanio ya miaka 20 ijayo!
".....kazi hiyo waifanye kwa ufanisi".

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Kama kweli serikali imeshindwa kupata 500m, iuze hisa kwa wananchi, na pia itafutwe kampuni ya kizalendo ya kuweka japo 20% tu ya hiyo. Kiasi kilichobakia cha 80% tuuziwe hisa. Turltapata pesa zaidi ya hiyo dola 500m, hata mara mbili yake alimradi kampuni isiwe ya kipigaji. Mbona NMB walipouza hisa kulikuwa na over subscription mpaka wengine tukarudishiwa pesa zetu tukiambiwa kuwa wanaotaka kununua hisa wamekuwa wengi mno?
 
Kama ni kweli uyasemayo, pamoja na kwamba siyo mambo mapya sehemu nyingi duniani kwa sasa hivi; basi ni kazi hiyo pekee inawatosha. Waifanye kwa ufanisi.
Haya mengine ya wao ndio wawe kila mahala, na bila kujua kwa muda gani achana nayo.

Tukitaka wafanye na hizo nyingine tutaamua sisi kwa wakati wetu kuwapa wao au tuwape wengine, au tufanye sisi wenyewe.

Katika uliyoeleza hapo kwa mbwembwe ni kama unaamini kuwa wataipeleka mwezini Tanzania kwa uwezo walio nao wao pekee!

Hiyo 500 wamekwambia watawekeza kwa muda gani? Isije ikawa ni matamanio ya miaka 20 ijayo!
".....kazi hiyo waifanye kwa ufanisi".

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli serikali imeshindwa kupata 500m, iuze hisa kwa wananchi, na pia itafutwe kampuni ya kizalendo ya kuweka japo 20% tu ya hiyo. Kiasi kilichobakia cha 80% tuuziwe hisa. Turltapata pesa zaidi ya hiyo dola 500m, hata mara mbili yake alimradi kampuni isiwe ya kipigaji. Mbona NMB walipouza hisa kulikuwa na over subscription mpaka wengine tukarudishiwa pesa zetu tukiambiwa kuwa wanaotaka kununua hisa wamekuwa wengi mno?
Maza ameshauza tayari
 
Vyanzo vyao vya habari?

Huo uwekezaji kama wana uwezo wa kuufanya bandari ya Dsm nini kimewashinda kufanya nchi nyingine walizofunguliwa kesi za kutosha?

Hizi propaganda za kitoto hazina maana.

Samia ni Shetani.
[emoji1787][emoji1787]

Chalii...

Umechanganyikiwa sasa....

Mashetani ni wale wanaotaka "status quo" ya ujinga iendelee hapo TPA pamoja na wapotoshaji wote.....


Je na wao hawajafungua kesi dhidi yao?!!!

Hivi kufunguliwa kesi ndio kutiwa hatiani.....

Kwa ujinga wako tuambie DP WORLD wameingizwa hatiani mara ngapi ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hiyo ni 1.2t, sio hela ya kutisha kwa hivyo. Labda uwaambie wasiojua chochote ndio wataona ni hela ya maana.
 
Back
Top Bottom