Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli uyasemayo, pamoja na kwamba siyo mambo mapya sehemu nyingi duniani kwa sasa hivi; basi ni kazi hiyo pekee inawatosha. Waifanye kwa ufanisi.DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hatujachelewa. Ma-ushungu na hawa mabasha zake hawatafanikiwa na huu upuuzi.Zanzibar tayari zamani, msikilize Mbarawa juu hapo.
Upo nyuma sana ya wakati
Mngeweza mngekuwa mmefanya acheni akili kubwa ije ichape kazi!Jinga kabisa, kwahiyo watanzania hatuwezi kutengeneza mfumo wa hovyo?
Udini utamuua huyo ajuza kigagula.Ulikuwa muted muda mrefu mpaka watu humu wakaanza kuulizana uko wapi ila toka hili sakata la waarabu wenzako (though wewe mweusi) lianze naona upo nginja nginja kila siku unatoa post mpya.
Umepewa bei gani maana juhudi hizi siyo za mtu aliyekuwa hajalipwa.
KUIBORESHA MIFUMO YA TEHAMA ISOMANE VYEMA...Mbona mfumo hou upo tangia zamani mimi nilianza kuagiza vitu toka china mwaka 2004 unapewa tracking number ambayo inaonyesha kila hatua ya mzigo wako
[emoji1787][emoji1787]Ni swala la muda tu watu wataondolewa kisayansi tu
Hakalipwi chochote hako, kanawafanyia bure ndugu zake katika imani.Ulikuwa muted muda mrefu mpaka watu humu wakaanza kuulizana uko wapi ila toka hili sakata la waarabu wenzako (though wewe mweusi) lianze naona upo nginja nginja kila siku unatoa post mpya.
Umepewa bei gani maana juhudi hizi siyo za mtu aliyekuwa hajalipwa.
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Mbona GENERALIZATION?!!Intelegency ya nchi iwe makini wasije ungia na ka link ka KUTOROSHEA FEDHA NJE direct [emoji51][emoji51][emoji51] sijawahi kuuona wema wa waarabu hata siku moja,kwa kuongea utadhani wema kweli.
Mbona watanzania wapo wanajua kutengeneza mifumo ya tehama?
Mjadala hasa ni vipengele vinavyotubana kwenye mkataba na siyo kuwakataa DP World ,kuna upotoshaji mkubwa hadi kulifanya hili suala lichukue sura ya udini.Asalaam akeykum Bi FaizaFoxy ? Unajua akili nyingi za Watanzania ni fuata upepo hasa kwa wale Wanasiasa ambao hawapo Madarakani huwa wapo tayari kuleta propaganda na uchambuzi wa mambo kwa njia za kupotosha, Sidhani kama Serikali itatuingiza kwenye mambo yanayosemwa na Wanasiasa wa Upinzani na Watu wengine.
Hawa DP World naona hata kwa Kagame wapo
[emoji7]Ndiyo maana sikutaka hata kupiga hesabu kwa pesa zetu. Kumbe ni mipesa mingi namna hiyo.
Ukomo umeuona wapi?
Huna jipya wewe kinachokusumbua ni udini; Unajikutaga mwaraaaabu.... Pole lakini ustaazatiDP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Mmmh.DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.
Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.
Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.
Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.
Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.
Mama anaupiga mwingi kweli kweli.