Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Kama ni kweli uyasemayo, pamoja na kwamba siyo mambo mapya sehemu nyingi duniani kwa sasa hivi; basi ni kazi hiyo pekee inawatosha. Waifanye kwa ufanisi.
Haya mengine ya wao ndio wawe kila mahala, na bila kujua kwa muda gani achana nayo.

Tukitaka wafanye na hizo nyingine tutaamua sisi kwa wakati wetu kuwapa wao au tuwape wengine, au tufanye sisi wenyewe.

Katika uliyoeleza hapo kwa mbwembwe ni kama unaamini kuwa wataipeleka mwezini Tanzania kwa uwezo walio nao wao pekee!

Hiyo 500 wamekwambia watawekeza kwa muda gani? Isije ikawa ni matamanio ya miaka 20 ijayo!
 
Ulikuwa muted muda mrefu mpaka watu humu wakaanza kuulizana uko wapi ila toka hili sakata la waarabu wenzako (though wewe mweusi) lianze naona upo nginja nginja kila siku unatoa post mpya.

Umepewa bei gani maana juhudi hizi siyo za mtu aliyekuwa hajalipwa.
Udini utamuua huyo ajuza kigagula.
 
Vyanzo vyao vya habari?

Huo uwekezaji kama wana uwezo wa kuufanya bandari ya Dsm nini kimewashinda kufanya nchi nyingine walizofunguliwa kesi za kutosha?

Hizi propaganda za kitoto hazina maana.

Samia ni Shetani.
 
Ulikuwa muted muda mrefu mpaka watu humu wakaanza kuulizana uko wapi ila toka hili sakata la waarabu wenzako (though wewe mweusi) lianze naona upo nginja nginja kila siku unatoa post mpya.

Umepewa bei gani maana juhudi hizi siyo za mtu aliyekuwa hajalipwa.
Hakalipwi chochote hako, kanawafanyia bure ndugu zake katika imani.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.

Shida sio hiyo shida iko kwenye ukomo wao wa kufanya hiyo kazi!!
 
Intelegency ya nchi iwe makini wasije ungia na ka link ka KUTOROSHEA FEDHA NJE direct [emoji51][emoji51][emoji51] sijawahi kuuona wema wa waarabu hata siku moja,kwa kuongea utadhani wema kweli.
Mbona GENERALIZATION?!!

Wema kwenye nini ?!!

Kwa hiyo kila mwarabu hawezi kuwa mwema?!!

Kwa hiyo kila mwafrika ni mwema ?!!

Kila mzungu ni mwema?!!!

"Bigotry" tu....

Huu nao ni ujinga ama ni chuki tu....

Dunia ya Sasa unalialia UBAGUZI?!!!

Hebu jitutume kwa ulichonacho..

Usalama wa bandarini USIMAMIZI wake ni wetu.....

#SiempreJMT[emoji120]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Asalaam akeykum Bi FaizaFoxy ? Unajua akili nyingi za Watanzania ni fuata upepo hasa kwa wale Wanasiasa ambao hawapo Madarakani huwa wapo tayari kuleta propaganda na uchambuzi wa mambo kwa njia za kupotosha, Sidhani kama Serikali itatuingiza kwenye mambo yanayosemwa na Wanasiasa wa Upinzani na Watu wengine.

Hawa DP World naona hata kwa Kagame wapo

Mjadala hasa ni vipengele vinavyotubana kwenye mkataba na siyo kuwakataa DP World ,kuna upotoshaji mkubwa hadi kulifanya hili suala lichukue sura ya udini.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Huna jipya wewe kinachokusumbua ni udini; Unajikutaga mwaraaaabu.... Pole lakini ustaazati
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Mmmh.
Ngoja tuone kama mapato ya TRA Yatazidi au kupungua?
 
Back
Top Bottom