Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Safi sana
Utakuta majitu tena yanayojiita mazalendo yatajaribu kuhujumu mfumo wao

Yaani unamakataa muwekezaji na ukiachiwa unaiba mpaka bolts [emoji374] za machine ili zife tu
 
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa👇🏾

Sheikh Mohammed bin Rashid meets Tanzanian President at Expo 2020 Dubai​

Vice President and Ruler of Dubai and Samia Suluhu Hassan discussed ways to boost co-operation between their countries during talks​

Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office

The leaders witnessed the signing of a memorandum of understanding between the two countries.

Expo 2020 is hosting a day of celebrations for Tanzania, to promote the country's products and opportunities.'s products and opportunities.

Sheikh Mohammed and Ms Hassan discussed strengthening ties, particularly in investment and economic and development areas.


Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia... Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office


Gillian Duncan author image
Mwangalie alivyokaa. Body language tu inamdhalilisha utadhani kakutana na master wake. Hapo kulikuwa hakuna namna. Mwarabu Sheikh LAZIMA neno lake liwe juu ya sheria ya Tanzania.
 
Hiyo ni 1.2t, sio hela ya kutisha kwa hivyo. Labda uwaambie wasiojua chochote ndio wataona ni hela ya maana.
Unaelewa maana ya neno "kwa kuanzia tu ? tena kwenye tehama tu.

Unaonesha hujaisoma post namba moja. Umekurupuka, go slowly, mbio za sakafuni huishia ukingoni.
 
Hapana, siyo "kulala"; pamoja na maelezo hayo yanayoonekana kuwa mazuri kama umelaza akili, Profesa naye anasema uongo humo humo ndani yake.
Hii dhana ya 'Private sector' pekee ndiyo yenye uwezo wa kuendesha bandari kaitoa wapi? Ni msahafu toka peponi uliotelemshwa kwake, au kakaririshwa tu awe anauimba kila mahali?

Usinielewe kuwa napinga 'private sector', lakini siamini jambo hilo kuwa kama ndio hitimisho la suluhisho.
Kinyume chake....tumeharibikiwa mengi sana kupitia G.O...tubaki tu nao katika masuala ya usalama ,mahakama na bunge.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mwangalie alivyokaa. Body language tu inamdhalilisha utadhani kakutana na master wake. Hapo kulikuwa hakuna namna. Mwarabu Sheikh LAZIMA neno lake liwe juu ya sheria ya Tanzania.
AlhamduliLlah Uislam unatufundisha unyenyekevu na kujishusha.


Uislam. Ni mwema sana.
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.

Mi mwenyewe nilishangaa Tanzania umudu kuiongoza na kuiletea maendeleo kijisehem kidogo tu kikushinde? Hii ni maajabu

Ukiona mtu anamwaga pesa mapema hivyo kuna kitu kakiona ambacho anajua kabisa haya majinga hajui kitu wacha niyape hiki ili mimi nipate kile na ndo kutawaliwa kwenye bora mtawaliwa wa enzi hizo kuliko huyu wa sasa ambae kaelelimika
IMG_3538.jpg
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Kwenye hiyo wamejumuisha na;
1. V8 la Dr Msukule?
2. Ile 50m ya Kitenge?
3. Gharama za Wabunge 30 ziara Dubai?
4. Mnyaa katengewa ngapi?
 
Toka wazungu waanze kuchimba Madini kule Mwadui kabla ya uhuru wamekoma lini ?!!![emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dah!

Kwa hiyo hapa unataka tuendelee na mtindo huo huo?

Usiwe shabiki asiyetumia akili, mkuu 'Mkunazi Njiwa'.
Naona ushabiki wako umekuwa kama wa Simba na Yanga; jambo ambalo ni tofauti kabisa.

Hapa tunapigania maslahi ya nchi yetu sote, bila kujali huyo mhusika anatokea wapi.
 
Na Sheikh siyo Muislamu? Hiyo nafasi imempwaya. Akamyenyekee mumewe nyumbani. Jinga sana wewe.
Ma shaa Allah, Sheikh umeona hana unyeyekevu hapo? Unaota?

Mama anaupiga mwingi.
 
Pia tusisahau kuwa linalokuja katika mapinduzi haya ya kiteknolojia kuna mengi tusiyoyajua. Sababu tumewapa DP World waje na 'zimwi la teknolojia' ambayo hatujui inafanyaje kazi na kuishia mateka
tunapelekwa mzobe mzobe kuhusu makasha ya Rwanda, Burundi, DR Congo yatalipiwa ushuru au watalipia usafiri pekee yake.

Roboti zitapungunza kazi ngapi za mawakala, wapagazi, makuli kwa maelfu mangapi ili kupunguza gharama za uendeshaji, mishahara, likizo za mwaka na likizo za dharura.

Musuli mkubwa wa kifedha wa DP World unatuweka katika hali gani wakati wa majadiliano je mwenye nguvu atapata kila atakacho ?

Je wingi wa mizigo itapelekea Dar es Salaam uchumi wake kuyumba kwa vile kazi zote na maofisi yatahamia Kigali Rwanda kama ilivyokuwa uchumi wa Mombasa kuyumba pale ofisi na bandari kavu zilipohamia Naivasha Kenya ?

Joseph Schumpeter that refers to the process of innovation and technological change that leads to the destruction of existing economic structures, such as industries, firms, and jobs.
 
"Mkuu upo jf kitambo, ongea na da Faiza foxy niliona hashtag zake kuhusu DP world anipe connection tupo wawili. Tuna uwezo wa kupush agenda san mitandaon, mtaan njaa kali angalau tuingizwe kweny payroll mkuu! Ahsnt." Huu ni ujumbe jamaa kanitumia DM nimeona niulete kwako bi Faiza. Wasalaam!!
👆😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Comment pekee ya kizalendo niliyokutana na mzalendo pekee aitwaye KALAMU....

Hatimaye jioni yangu imebarikiwa kwani toka mchana huko juu nawaona tu vilaza waliopotoshwa na kupotosheka.....[emoji1787]

Now you have spoken [emoji120]

Kudos

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Watetezi wa dp world sijui mmelipwa kiasi gani mna energy sana ya kupambania mkate
 
Mwendokasi hapo mnasimamisha watu kama maroboto ya pamba na kujaza mbuzi, kamradi kadogo tu kamewashinda mambo makubwa mtaweza?
Yani mimi nashangaa mpaka leo, yani miaka 60 ya uhuru serikali imeshidwa kujenga shule za secondary na primary,
Basi hata kuweka madawati Darasani wameshidwa , daaa huaga nafikilia sana.
 
Back
Top Bottom