Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Nani alikwambia kwamba namuunga mkono Mbowe au mwanasiasa yoyote katika nchi hii.
Falsafa yangu ni kumuunga mkono yoyote ambaye anasimamia maslahi ya Taifa na kumpinga yoyote anayeenda kinyume.
Ninaamini katila hoja, na sio kuwa mshabiki wa mtu fulani au kikundi fulani. Hata wewe ukiongea jambo lenye tija kwa Taifa nitakuunga mkono, ila ukija ukavurunda pia nitakukosoa bila kujali kama nilishawahi kukuunga mkono hapo awali.
Nasimamia ukweli na sio ushabiki au upenzi.
Hizo ndiyo fikra chanya.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Uzeni Bandari yenu. Sisi Watanganyika tumewastukia na hatutaki
 
Tumbili zikisheherekea mwarabu akija kununua bandari.

Hii ni reflection ya akili za babu zetu kuja kutawaliwa Africa, ni jambo linalojirudia, hatubadiliki.

Tusifikiri tunapendwa sana.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Mwambie ma-ushungi hatudanganyiki. Hatutaki ubia na waarabu. Ni hatari kwa nchi yetu.
 
Hapo upo na tende unapiga heesabu kwa fedha ambazo hata sio zako.
 
Hofu ni kuongezeka gharama utoa mzigo wako hapo bandari.Je mapato upande wa Serikali.
Waziri Mbarawa kishafafanua hilo, msikilize clip yake imebandikwa juu hapo.

Faida ni nyingi, wanza DP World twywri tehama inayotupa tabu miaka yote wameweka dollar million 500 kuirekebisha haraka sana.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Tanganyika tumekataa huo ujinga wenu pelekeni Zanzibar
 
Mwambie ma-ushungi hatudanganyiki. Hatutaki ubia na waarabu. Ni hatari kwa nchi yetu.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa👇🏾

Sheikh Mohammed bin Rashid meets Tanzanian President at Expo 2020 Dubai​

Vice President and Ruler of Dubai and Samia Suluhu Hassan discussed ways to boost co-operation between their countries during talks​

Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office

The leaders witnessed the signing of a memorandum of understanding between the two countries.

Expo 2020 is hosting a day of celebrations for Tanzania, to promote the country's products and opportunities.

Sheikh Mohammed and Ms Hassan discussed strengthening ties, particularly in investment and economic and development areas.


Sheikh Mohammed bin Rashid, Vice President and Ruler of Dubai, meets Tanzanian President Samia... Suluhu Hassan, at Expo 2020 Dubai. All photos: Dubai Media Office


Gillian Duncan author image
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hatuwataki waarabu matapeli wapelekeni huko kwenu Malindi
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hao waarabu ni matapeli,Lissu bingwa wa sheria ukanda wa maziwa makuu kawachambua kindaki ndaki.Samia hii dhambi itamuandama daima kuuza mali za Tanganyika.

 
Karibia tutasikia Bahima Empire imeshirikiana na Dubai ili waitwae Bandari yetu.
 
Back
Top Bottom