Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu...
Sawa. JE, tukiwauzia nchi yote na kila kitu wataanza na DOLLAR NGAPI?
 
Makame Mbarawa nae anasema anajisikia fahari kuwa Mtanzania akasema na TPA ni ya Tanganyika tu hauhusuani na Bandari za Zenji
 
Hawa Jamaa hawataki Mchezo. Duu sasa Mr Mbowe na Tundu Lissu walikuwa na Maana gani kutudanganya kama Mambo yako Mazuri hivyoooooo
Si mara yao ya kwanza...

Ndg.Tundu Lissu ndiye aliye"lobby" wabunge wa CDU cha ujerumani bungeni bundestag waupige ujenzi wa bwawa la kufua umeme la MN kwa kigezo "koko" kuwa tunakwenda kuharibu TURATHI YA DUNIA...Selous....[emoji1787][emoji1787]

Kumbe eneo la ujenzi lilikuwa ni 3% tu.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndiyo tabia yao....

Hao ni madalali wa kimataifa.....[emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Hii mbinu inaeleweka kwa wanawake tu walio zoea kuhongwa na kudanganywa .

Kuna akina sisi ambao tunataka matokea na tunataka kuona tangu mwanzo hadi mwisho.
 
Ma shaa Allah, ni vyema umeliona hilo. Najivunia kuwa Muislam na kuwatetea Waislam wenzangu kwenye haki.

Wewe unaumia kwa Uislam wangu?
Mrembo, ebu fanya mpango basi chap nihamie upande wa haki ili tumalize na michakato kwa Sheikh....☺
 
Makame Mbarawa nae anasema anajisikia fahari kuwa Mtanzania akasema na TPA ni ya Tanganyika tu hauhusuani na Bandari za Zenji
Mwekezaji amefanya upembuzi Yakinifu kuja kuwekeza kuchimba madini sehemu "A" unalazimishwaje akachimbe na sehemu "D"....?!!!

Mh.Rais Kagame alionesha nia ya kutaka kuwekeza bandari ya Dar ...la kujiuliza ni kwanini asitake bandari za Zanzibar ....leo hii mwekezaji tumlazimishe na bandari ya Zanzibar ?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Cha msingi ni kuingiza pesa kubwa kwenye makusanyo ya taifa kuliko ambavyo tungeendesha wenyewe plus ufisadi mwingi. Rais yupo sawa kabisa.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Acha wawekeze kisha tutaona.
 
DP World siyo watu wa mchezo mchezo, vyanzo vyao vya habari vinasema kwa kuanzia tu wanawekeza Dollar za Kimerekani million 500. Piga mwenyewe hesabu kwa 1fedha za kwetu.

Wataanza kwa kuhakikisha wanaweka mfumo wa kisasa wa TEHAMA unaosomana na na idara zingine zinazohusika papo kwa papo. Mfumo utawezesha kung'amua mizigo imepakiwa wapi, saa ngapi, ipo wapi na lini itafika bandari ya Dar. Pia mteja mwenye mzigo ataweza kuufatilia mzigo wske toka anspoukabidhi kusafirishwa, ulipo na mpaka unamfikia.

Ni mabadiliko makubwa sana na ya jisasa ya kiuendeshaji wa kazi za bandari na tuliyonayo sasa.

Mfumo huo zautaweza kuibua mapungufu ya idara zote zingine zinazozembea.

Mfumo utakuwa na "hot backups" wakati wote, Inamaanisha tusahau bandarini kuambiwa mtandao haufanyi kazi.

Mama anaupiga mwingi kweli kweli.
Uwe na uelewa...sio kila siku kushadadia ujinga!.....watakaumia ni wajukuu zako....

Hizo pesa hawekezi serikalini......

Anaweka miundombinu yake itakayokuwa inamuingzia yeye faida!.....

Maana mkataba hauna ukomo wa muda(kichekesho)! muda wa mkataba ni hadi kikomo cha miundombinu yake ETI HADI ITAKAPOCHAKAA!.....

uliona wapi sehemu inayokuingizia faida... mmiliki akaiacha ichakae!?...

Chukua Mfano mdogo tu kwenye baa maarufu za kitambo...

Kuna kuchuja kwa baa!? Mwenye baa anadilisha miundombinu, kama jina,warembo,...na anaendelea kupiga faida miaka yote .... .

Huo Mfano wa baa niliokupa.....ni sawasawa na Dp world......

Chukulia mf. Ni wewe....je utaruhusu miundombinu ichakae na umeinunua ili ikuingizie faida kila siku!?

Ukiruhusu...basi utakuwa kichaa! Taahira kabisa!

Tumia akili...tumeshauzwa....

Hata akitumia dollar bill....100....anawekeza kwenye shamba lake...ambalo mmeshamuuzia!.
 
Hii mbinu inaeleweka kwa wanawake tu walio zoea kuhongwa na kudanganywa .

Kuna akina sisi ambao tunataka matokea na tunataka kuona tangu mwanzo hadi mwisho.
You are a misguided and misinformed chap....[emoji1787]

Are you misogynistic?!!

Narudia tena "are you misogynistic"?!!![emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom