Mbwembwe za DP World, kwa kuanzia tu wanawekeza Dola milioni 500 bandari ya Dar

Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.


Wewe unakumbuka shuka kumekucha.
 

Kama mambo yatakuwa hivyo naunga mkono hoja
 
Magufuli pekeake keshazika trillion Moja hapo bandarini harafu sisi tunaenda kuigawa kwa waarabu
Pamoja na kuzika hiyo tilioni yake..si kafeli..mwisho wasiku hafi waziri anaenda nae anakuta upuuzi uleule..hiyo tilion ililiwa yeye na wapigaji wenzie...wakija kwenye majukwaa wana Danganya vingine.
 
Kama mambo yatakuwa hivyo naunga mkono hoja
Siyo hivyo tu, ni mengi sana tena sana, pitia hizi nyuzi 👇🏾



 
Hii bandari tangu kipindi cha lowasa..aliwapa lafiki zake kina karamagi na tix yao..wamekaanayo miaka zaidi ya 20 sasa.kwenye mafuta uhuni, kwenye makontena uhuni..wanatengeneza taharuki kila mwaka kwenye hii bandari..kwa kipimo hiki..hakuna mtanzania atakaeweza kusimamia pale.

Kweli kuna vitu habipaswi kubinafsishwa kwa % zaidi ya 55 kwa wageni.kama vile mawasiliani, maji, umeme, viwanya vyandege pamoja na bandari..ila sasa ujinga wetu na ubinafsi wa kupenda familia zetu.ni bora sehem muhimu zinazogusa hasa wateja bora wapewe wenye uwezo.
 
Inawezekana kweli, hivi hakuna watu wanasamehewa Kodi au kupunguziwa bandarini? Maana tunaweza kuwa tunapiga kelele bandari inauzwa kumbe tunasaidia kutetea wanufaika.
Bandari ni taasisi nyeti sana, wengi wanaopiga kelele ni wanufaika wa huu mfumo wa sasa. Kwao mambo yakienda vibaya serikalini ndio huwa neema.

Inakuja digital port, hakuna tena mianya ya upigaji inayozoeleka. Hawawezi kukubali kuona ulaji unawachomoka bila ya kupambana kwa kuilisha jamii pana matango pori kwamba serikali yetu inauza bandari.
 
sasa million 500 USD si sawa na Trillion 1 TSH waliowekeza gati namba 8-11??

Unaongea TakaTaka
 
Mwanzoni watu wataona kama ni mzaha, hawa watu sio wa mchezo wewe angalia nchi yao huwezi kuamini kama ni jangwa, hawa wana kuja kuchapa kazi
 
Mwanzoni watu wataona kama ni mzaha, hawa watu sio wa mchezo wewe angalia nchi yao huwezi kuamini kama ni jangwa, hawa wana kuja kuchapa kazi
Hao wanaupiga mpaka bandari za Ulaya na America.

Hawana nzaha kwenye kazi hao.


Mama anaupiga Kimataifa.
 
Asa uwezo wa kuziendesha mnao ? Aah
 
Kwan umeambiwa serikali haiwez kufanya Hayo Mpka Hao DP world hiyo trion 1.3 serikali inayo kuweza kufanya Hayo yote na bandari ikaendeshwa na TPA Kwa kuweka watu weny weredi na kuwawajibisha wote wazembe , Sio lazima Kila kitu wafanye wageni ,serikali IPO na inaweza kuwekeza Pesa yoyote na bandari ikafanya KAZI vzr , Hao DP world ni kampuni ya serikali ya Dubai km wao serikali waliweza kuanzisha hiyo kampuni Kwan sisi kinatushinda nn kuanzisha kampuni ambayo tunaweza kuwapa jkt tukaipa vifaa vya kisasa na ikahudumia bandari na pesa yote ikabaki kwetu ,
 
Hapo Chadema lazima watakwambia haiwezekani na ikiwezekana Mwarabu anataka kuiba mali za Watanzania
 
Ambayo ni TZS ngapi??! Ujinga mtupu huo
Hiyo pesa unataka kusema Serikali Haina??!
Ujinga tu
 
Lundo la watu nakuambia over 50Millions wote hatuwezi endesha Jambo dogo kama hilo 'Bandari' mpaka tutafute eti wawekezaji. Watufanyie sisi hatuwezi, Kama vile ni walemavu.
Kwa kweli inasikitisha, badala ya kutengeneza mfumo wetu wa kujitegemea tunajipeleka kwa waarabu. Haeajawahi kuwa watu wazuri kwetu tangu enzi za biashara ya utumwa. Self reliance ya JKNyerere Iko wapi sasa?
 
Wamejaribu sana wameshindwa.
 
Kwako mama kwasababu ni muislamu hawezi kukosea
 
unavo wapigia debe hao waarabu utazani ume haidiwa kitu vile
 
Hao wanaupiga mpaka bandari za Ulaya na America.

Hawana nzaha kwenye kazi hao.


Mama anaupiga Kimataifa.
Sio kwa bandari za ulaya tu, sasa wameziingilia club za mpira na Manchester united nayo imepitiwa acha mchezo na pesa, wanachotaka wao walichowekeza kilete manufaa sio bla bla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…