Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Hao twisa na pinto wana nini funguka basi.Nimeshuka kwenye page yake,mpaka mwisho nimekuta tena picha ya katoto keupe akisema ka kwake,ndo maana hata huyu nimeweka ?Halafu marafiki zake walikuwa kina Twisa,Juma Pinto,dah nikajiuliza maswali zaidi ukizingatia na alivyokuwa anajiita.
Ilikuaje mkuuUnashangaa Joni?kaulizie Mzee wa vijisenti
Ushaambiwa mtu MC.Tangu juzi kulipotokea msiba wa marehemu seth pilipili amekuwa akipost qoutes mbalimbali kuhusu marehemu, si kitu kibaya ila baada ya hapo ameendelea kupost picha mbalimbali za matukio ya msiba huo zinaoonesha amepigwa kwa simu huku akijinasibu kuwa amehuzunishwa,ameumia na kusikitishwa sana na kifo cha Seth.
Jamani kweli kabisa mtu una huzuni unaweza kupose na kupigwa picha kiasi kile!? Kulikuwa na bunches of media photographers kwanini asingetulia kama wengine akapigwa picha kulingana na matukio!?
**Nilimshangaa zaidi alipoandaa makala ya wasifu wa marehemu na kutaja mpaka ugonjwa uliomuua siku hiyo hiyo ambayo seth alifariki as if alikuwa msemaji wa familia**
Hata mwajiri wake (E-FM) hakudiriki kutoa hiyo taarifa japo kwa sehemu kubwa anahusika katika utoaji wa taarifa za mwajiriwa wake.
Pilipili humpendi Seth hata kidogo coz urafiki ni kustiriana na kujaliana why uanike ugonjwa wa Seth tena mapema kabisa wakati watu bado wapo kwenye taharuki kubwa baada kupokea taarifa ya kifo tena bila haya wala aibu ukaiwahisha hiyo makala you tube ili Seth aadhirike vizuri
Rafiki wa hivi simuhitaji katika maisha yangu.
Pilipili sina chuki binafsi na wewe ila unabore kiki za kijinga kwenye mambo ya msingi hazitakusaidia na zitakupoteza.
R. I. P SETH
Mdau JF
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Amlipie ada ndo tuone ana machungu kwelKama ni huzuni basi mwenzetu huyu zilipitiliza. Kuna picha ali post kapiga yeye na mtoto wa marehemu Seth. I think that was simply inappropriate and unnecessary!!
Nadhani tuko kwenye same boat aiseeMUNGU anisamehe namchukia sana huyu pili pili hoho..cjui alinikosea nini
Jimbo gani?Ni mbunge hadi leo hii
Uko dunia gani wewe aliweka makala you tube nenda kachek pilipili tvPilipili hajatangaza ugonjwa wa seth ,naona umechanganya habari
Au you are just hating with no reason
Watangazaji wa bongo...ndo mana wanatakiwa wawe na degree..
Msolo[emoji769] 2017
Being real au n kiki tuu, unaanzaje kupost kila lisaa while kila mtu anajua kilichotokea, yy ndo anahuzun sana au ndo alikua the closest friend wa seth.ukipost mara mbil tatu watu hawataona kama umehuzunishwa ad upost mara 20., jamaa anazingua tuu ,unatafuta kiki ad kwny misiba.Siku ya birthday ya miaka 30 ya Mc Pilipili, Seth alimuandikia series ya jumbe Pilipili ,and that was just birthday.
Leo hii yeye anaandika ,some of the words ni zile ambazo pengine alitaman amwambie jamaa wakati akiwa hai bt alishindwa lakini raia mnaponda, taking into consideration kuwa jamaa hatakuja kumuona tena na ni mpendwa wake
Nyakat zinakuja ambazo watu watakuwa wanashindwa kuwa real, kwa kuhofia kusemwa mitandaoni
Nadhan what Pilipili is doing is just being real,
alikuwa ni bikira wa kisukuma nadhani alikuwa hajui hayo mamboMsaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Hata mimi nina ? aisee hivi girl friend wake ni nani?Huyu Pilipili na sauti yake ya kike sijawahi mkubali ng'oo
Tatizo hujamfollow umeingia tuu na kutoka, so huwez ona tunachozungumzia, bt kiukwel anazingua yaan kila ukiingia insta n post yake tena anaweka pic ya seth na maneno kibao.watu wamepata taarfa, watu wameona watu wamehuzunishwa, kwan post mbil tat hazitosh ad apost kila mda alaf siyo taarfa muhim ni kuelezea tuu jins walivokua na close na seth. Was he the only friend kwa seth.Heb mfollow leo tuu the whole day af utajionea.Imebidi niingie kwenye page ya mcpilipili ili nami nihakikishe. Nadhani mwandishi umechukulia tofauti au umetafsiri vibaya. Nilichokiona kwa mcpilipili ni maumivu makali aliyonayo kuondokewa na rafiki yake kipenzi ambae ni kama ndugu. amepost pia comments nyingi za marehemu alizokua anamsifia huyu mc na kuelezea ukaribu. imenionyesha jinsi ambavyo marehemu na mc walikua marafiki. hakuna picha ameweka ya maiti zaidi ya matukio ya msiba, kitu ambacho si kibaya. kumbuka marehemu hakua na ndugu wa kiume, pamoja na urafiki wake na marehemu naona walikua kama ndugu. haya ni mawazo yangu na si lazima uone yako sawa. sioni kosa hapo kwenye page ya mc
si huko huko kwao Bariadi au nimechanganya madesa?Jimbo gani?
Marehemu hakuwahi kuoa. Ila ameacha mtoto mmoja.Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Marehemu hakuwahi kuoa. Ila ameacha mtoto mmoja.
Ana mtoto sijui alizaa mwenyewe[emoji1]Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Ya ni kweli hakuwahi kuwa na mke ila ana mzazi mwenzie ambae alizaa nae hapo ndio unakuja umuhimu wa ndoa inakupa thamani japo sio sana.Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona