MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

CONTROLA,
Wanawake wa namna hiyo wameshakufaga kwenye WW1, zimebaki copy kwenye movie tu hasa za bongo. Kulia mbele za watu hasa mwanaume unaonyesha, you are weak enough kushindwa ku control hisia zako otherwise tuseme yalikuwa maigizo, chochote kinawezekana mbele ya camera.
 
Mc Pilipili kila siku zinavyokwenda unazidi kutuaibisha wagogo
Inakuwaje mwanaume unalia mbele ya mkeo tena mbele ya media
Ilitokea ulizuzuka wakat unamtambulisha
Hata baada ya kumuoa bado unadeka tu
Kaaaa,sisi wagogo tunaomba tuwauzie wachaga na wahaya huyu mtu maana kajaa sifa
Your browser is not able to display this video.
 
These are the type of niggas when they nut the whole neighbourhood gon know as niggas be shouting, cursing and shit.

It's all perfect tho
 
Tangu hiki kipindi kimeanza nimeona zamaradi akiita zaidi wanawake na si mke na mume, isije kuwa pilipili alitaka kuongozana na mkewe kutokana na mahaba ya kihindi .

Katika machozi hayahaya kuna mmoja hapo anateseka sana na staili ya maisha ya mwenzie ndo maana inawagharimu mno kudhirisha upendo binafsi naona elements za Toxic relationship no matter how much they cry.

Kwenye macho yao mmoja anadai kuheshimiwa na mwengine anataka kutambulika kwa uzuri alionao anyway still is life kila Baharia anapambana na alichonacho.

Pia relation ship hii ni kama ina maigizo mengi kuliko uhalisia mambo ya mbelembele....

Mwamba punguza kulia only men in Philippines cry often in audience hii kitu ipo kwenye filamu za ufilpino na chache mataifa mengine.

Ila nampa angalizo mke wa pilipili machozi ya mwanaume mara nyingi ni yakuchunguza mda mwingine hayana tofauti na machozi ya mamba (crocodile tears) kwanza jamaa kaanza kudondosha machozi ghafla baada ya Zama kurecommend maongezi ya wife wake.
 
Huyu ni fala numba moja Tanzania, kwanza hakuwahi kuwa mwanachama wa chama cha Mabaharia
 

Mkuu mimi naomba nibishane na wewe kabisaa.
Kwanza kabisa, hayo matatizo unayoyataja, asilimia kubwa ya watu tunaoishi kwenye hizi nchi masikini tunayapitia. Na hata kama ni kweli jamaa kayapitia lakini sisi kama wanaume tumekuzwa kuji control na kupambana kiume! Mwanaume umeumbwa kubeba mambo mazito, kuteseka, kunyanyasika, kupigana na hata kufa lakini kamwe hutakiwi kuonyesha udhaifu mbele za watu, hasahasa mkeo. Ndio maana hata kwenye misiba huwezi kukuta mwanaume analia na kugalagala chini hata kama umeumia kiasi gani!!

Mwanaume unapooa, yule mwanamke anakutegemea wewe kwamba ndio utakua nguzo yake na ulinzi wake. Kama hujui hili nenda kasome au uliza ni kwanini kwenye ndoa mwanamke anakaa upande wa kushoto? Hivi wewe ukiwa na mlinzi au bodyguard halafu uone anaanza kulia hata kabla maadui hawajatokezea utaona kuna mlinzi hapo?

Wanawake by nature ni "control freaks" mwanamke akishajua una weakness kwake aisee atakuendesha kama gari bovu tena ukicheza atakulamba vibao mbele za watu. Huyu dogo ajiangalie sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…