MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

Hivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee.

Hivi ni sahihi Mwanaume kumililia Mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa?

Daah! Kulia hadharani nimeshindwà kukubaliana nayo. Kama kulia, nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja.

View attachment 1278759

Dogo gay lile!

Not otherwise!
 
interlacustrineregion,
Kimbele mbele cha ku quote vitu ninavyoandika mwisho iwe leo

kama unahisi huwez kutulia,kaa kimya yani usini zoee kabisa

usije rudia tena kunletea mazoea ya kimandazi,ushawahi kuona nikijitangaza kama nabii?

unanijua mimi? mazoea ya kipumbavu sitaki tena acha kbisa ukiona hii ID kaa nayo mbali

usiniletee tabia za mashoga mimi kufata fata wanaume bila kuitwa,usijipendekeze kwangu

narudia tena kukwambia Usijipendekeze kwangu Tafuta wa kumzoea ila sio mimi,umenisikia wewe?

Nilitaka kukunyamazia ila nimekaa nikaona nikuchane ili kama kuna wengine wataona wenye kuwashwa

kama ulivyowashwa wewe wajue kuwa CONTROLA hataki mazoea machafu na watu wachafu.

Kaoge utakate,vaa pendeza, Nukia kisha ndio uje u qoute ninachoandika mgonjwa wa akili wewe

Umejiona wewe ni nabiii feki ukafikiri kila mtu nabiii Blal full mazafantaz,wee kitasa acha mazo nimesema acha Mazo.
 
Kama kitu unaifuatilia kwa mda mrefu afu haiyeleweki hadi unakata tamaa ila unajipa moyo ipo siku, hiyo siku ndo ameingia kwa box kwanini usilie bana, big up MC. na hongera wewe na kikundi chako cha Machozi band nafikiri Binti Komando amekuachia mikoba au unasemaje Sakayo
Yote hii katika kuunga mkono juhudi za mh. mtukufu uncle.
 
Mahaba hayana fundi najua tangu zamani koroma haliwi nazi japo linatikatika mzoea udalali huwezi kazi ya duka
 
Jamii Forum hii ndiyo inakutoa akili kiasi uhamaki kiasi hicho hadi ushindwe kudadavua hiyo tafsida imetumika tokana na kauli yako ya kuwatabiria Watu kuwa watalia kama anavyolia lia Mc Hoho mbele za Watu?

Shushia maji ya kunywa afu vuta pumzi ili upambanue hoja vizuri bila ya kujikweza kwa matusi ya kuhamaki hapa sababu hunijui nami sikujui, istoshe hakuna asiyeweza kutukana hovyo kama ulivyopaniki.

Nimekusamehe bure tu sababu umetumia hisia(moyo) kupambanua hoja badala ya kutumia akili(ubongo) kuamua kwa busara zaidi [emoji23]

Nakusisitizia hatujuani ilihali wawezajikuta unahamaki na Rafiki, Ndugu au Jamaa yako wa karibu sana, so pole sana kwa kunitafsiri tofauti hadi ukapaniki [emoji847]
Kimbele mbele cha ku quote vitu ninavyoandika mwisho iwe leo

kama unahisi huwez kutulia,kaa kimya yani usini zoee kabisa

usije rudia tena kunletea mazoea ya kimandazi,ushawahi kuona nikijitangaza kama nabii?

unanijua mimi? mazoea ya kipumbavu sitaki tena acha kbisa ukiona hii ID kaa nayo mbali

usiniletee tabia za mashoga mimi kufata fata wanaume bila kuitwa,usijipendekeze kwangu

narudia tena kukwambia Usijipendekeze kwangu Tafuta wa kumzoea ila sio mimi,umenisikia wewe?

Nilitaka kukunyamazia ila nimekaa nikaona nikuchane ili kama kuna wengine wataona wenye kuwashwa

kama ulivyowashwa wewe wajue kuwa CONTROLA hataki mazoea machafu na watu wachafu.

Kaoge utakate,vaa pendeza, Nukia kisha ndio uje u qoute ninachoandika mgonjwa wa akili wewe

Umejiona wewe ni nabiii feki ukafikiri kila mtu nabiii Blal full mazafantaz,wee kitasa acha mazo nimesema acha Mazo.
 
Ntalia kama kafa ila yupo hapo kachanua miguu eti nilie?? Hapana
 
Back
Top Bottom