Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee.
Hivi ni sahihi Mwanaume kumililia Mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa?
Daah! Kulia hadharani nimeshindwà kukubaliana nayo. Kama kulia, nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja.
View attachment 1278759
Jipange tena kulia kwa mdada
View attachment 1279767
Mkuu umenikumbsh"Mwanaume analia kama Simba ndani ya moyo, peke yake usiku wa manane"
Alisikika Banana Zoro
Nimeionaa tuma 5000 ili kuipata(joke)[emoji3] [emoji3]Ukizipata tuambiane[emoji3][emoji3][emoji3]
Kimbele mbele cha ku quote vitu ninavyoandika mwisho iwe leo
kama unahisi huwez kutulia,kaa kimya yani usini zoee kabisa
usije rudia tena kunletea mazoea ya kimandazi,ushawahi kuona nikijitangaza kama nabii?
unanijua mimi? mazoea ya kipumbavu sitaki tena acha kbisa ukiona hii ID kaa nayo mbali
usiniletee tabia za mashoga mimi kufata fata wanaume bila kuitwa,usijipendekeze kwangu
narudia tena kukwambia Usijipendekeze kwangu Tafuta wa kumzoea ila sio mimi,umenisikia wewe?
Nilitaka kukunyamazia ila nimekaa nikaona nikuchane ili kama kuna wengine wataona wenye kuwashwa
kama ulivyowashwa wewe wajue kuwa CONTROLA hataki mazoea machafu na watu wachafu.
Kaoge utakate,vaa pendeza, Nukia kisha ndio uje u qoute ninachoandika mgonjwa wa akili wewe
Umejiona wewe ni nabiii feki ukafikiri kila mtu nabiii Blal full mazafantaz,wee kitasa acha mazo nimesema acha Mazo.
Kwani analilia nini jamaani. Mi niko nyuma mwenzenu.
Jamaa mchele
Daah!!! Wanaume wa humu inabidi waige jamani. LOL. 😎Analia jinsi mkewe anavyompenda na kupata mke nzuri wa umbo tabia na mcha Mungu
Aisee!!! Aigwe kwa kweli. 😎😎😎Analilia mbunye ya mke wake