Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha amina mkuu.Kaka kaka, nakusalimu kwa jina la Yesu.
mchungaji anatusimulia habari za hawa na adamu naye kaingizwa kingi na hawa tenaUjumbe ni kwamba keshaachana na mwanamke aliyemfilisi.
Hayupo katika ndoa, ni single daddy.
Nipo mkuu, sema tunaacha footsteps mara mojamoja kama hivi.Hahaha amina mkuu.
Za kupotea
Umezuiliwa au😂Nipo mkuu, sema tunaacha footsteps mara mojamoja kama hivi.
HAhaha unalilia shidaCha kushangaza bado wanaume wanapiga magoti na kulia machozi wakati wa kuvalisha pete ya uchumba
Kumaanisha kwamba hata hapa ninavyopita itakuwa nimeomba ruhusa kwakwe?Umezuiliwa au😂
Ni uchokozi usio na madhara mkuu😂😂Kumaanisha kwamba hata hapa ninavyopita itakuwa nimeomba ruhusa kwakwe?
Kaka mbona kama unataka kunifananisha na MC Pilipili? 😂
Kuna wakati ubandidu kiasi unahitajika kwenye mahusiano, hawa wenzetu wakishakuona umekufa umeoza baadhi yao(siyo wote) huanza kukuendesha watakavyo.
Ndiyo hayo yaliyomkuta McPilipili
Japo kibunda ni muhimu sana nowadays kufanya Mzunguko wa mapenzi uwepo.
Otherwise utakufa Singo Kwa kupiga nyeto
Babu kumbe na we we unaifahamu nyeto?Kuna wakati ubandidu kiasi unahitajika kwenye mahusiano, hawa wenzetu wakishakuona umekufa umeoza baadhi yao(siyo wote) huanza kukuendesha watakavyo.
Ndiyo hayo yaliyomkuta McPilipili
Japo kibunda ni muhimu sana nowadays kufanya Mzunguko wa mapenzi uwepo.
Otherwise utakufa Singo Kwa kupiga nyeto
Hahaha........nafahamu Mkuu, nilipokuwa kwenye Rika la barehe nimewahi kujichukulia Sheria Mkononi pia 😜Babu kumbe na we we unaifahamu nyeto?
Poa mzee wetu, tupo pamoja ile project yako ili ni impress sana, nami napambana mahali nikifuata nyayo zako.Hahaha........nafahamu Mkuu, nilipokuwa kwenye Rika la barehe nimewahi kujichukulia Sheria Mkononi pia 😜
Study inaonesha, asilimia 85 ya Wanaume wote Duniani wamewahi kujichua ama wamewahi kujaribu kujichua japo mara moja kwenye maisha yao
Ni njia rahisi na salama kuweza kulinda Afya yako na Wallet yako Kwa mujibu wa dronedrake 😅
Umefanya vyema kuanza kujiwekeza ungali bado Kijana wa UmriPoa mzee wetu, tupo pamoja ile project yako ili ni impress sana, nami napambana mahali nikifuata nyayo zako.
Mlugaluga na pisi kaliKivipi ? Fafanua kidogo
Hamna kitu ana sura ya mahaba tuuVp Ana nnya lakini 😄
Ova
Hajawahi kukili hilo kosa, pengine kwake halikuwa kosa.Kosa lake kubwa la kwanza ni kupiga magoti siku anamvisha pete yule dada