Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Umetukana, nilitaka kukuajiri bandarini ila nimekufukuza kazi kuanzia sasa.🤣🤣🤣🤣🤣 kmmk umetisha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetukana, nilitaka kukuajiri bandarini ila nimekufukuza kazi kuanzia sasa.🤣🤣🤣🤣🤣 kmmk umetisha mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Tabu sana watoto mlio soma shule za zisi, yesi, no, kamu hiya zenye Tom&Jery Tv show....[emoji1781] yaani mnaanzishaga nyuzi kana kwamba kila atakae soma alizaliwa kipindi cha uzazi wa mpango yani...[emoji41]
😂😂😂Umetukana, nilitaka kukuajiri bandarini ila nimekufukuza kazi kuanzia sasa.
Alisoma chuo kipiMaji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.
Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.
MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.
Andaa rushwa
Watu huloga kwa kutumia pichaUkishaweka ndoa yako mitandaoni ujue hiyo ndoa inaenda kwenye life support machine. Bado Manara.
Alafu kuna mda utamsikia madam rita anakuambia ni mpambanaji hayo ndo maajabu ya duniaHawa matajiri wana uchafu mwingi nyuma ya pazia
Wanawapamba buree kumbe ndo mifirauni
Madame ritaa ni mchafuu,alikuwa anatumia k yake kuishi mjini kistaa,ndomana baada ya kubwagwa na mzee machache hajawahi kushine kama enzi hizo tena
Na mzee machache alilipwa,kuwa na hela zote zilee afu kuletwa kama cargo nchini kwako na malayah kuanza kugombea urithi wa kizazi chako ni bonge ya demotion
Mungu hapokei rushwa🙏
Tatizo hujitokeza pale mwanaume mzima unavisha pete huku ukisujudu as if she is going to be a head in the family those are the outcome bear with them nig*Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Mwenyekiti wa kataa ndoa upo juu unakiwakilisha chama vizuri sana[emoji3]NDoa ni utapelii ulio changamka, ogopa mkataba batili
KumbushiaIle picha aliopiga magoti siku ya engagement anayo? Aitume hapa nikumbushie
Nita kualika kwenye kikao cha chama😂😂Mwenyekiti wa kataa ndoa upo juu unakiwakilisha chama vizuri sana[emoji3]
Aisee😂NDOA NI AINA YA MAUAJI YA KIMWILI KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI.
KATAAA NDOA...
Pole yake kivip nawakati bado yupo na mke wakePole yake jamaa