Mkuu samahani, mwanamke mwenye hadh ya kuwa mke ndo yukoje?Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Hahahahaha shida tupu bwashee.....
Em fanya tuwasiliane chapu 😂😂👊🍺
Hiko somo jingine, nivumilie siku nikiwa nina mood ya kuandika.Mkuu samahani, mwanamke mwenye hadh ya kuwa mke ndo yukoje?
MC Pilipili na homeboy Nikki wa II wana mengi ya kusimulia kwenye haya mambo. Ila nao waridhike wasiwe kama Mbowe kukaa madarakani bila kikomo. Muda wao wa kumiliki hizo mashine umepita wawaachie wengine.
[/QUOTE
Mimi hizo mbanga siwezi ntakufa kabla ya wakati........ Hata akiwa mzurii stop na limit zinaanza mapema 😂Ukioa mwanamke wa maonesho inabidi uwe na msuli mzito sana na uwe mafia 😅😅
Ukioa mwanamke wa maonesho inabidi uwe na msuli mzito sana na uwe mafia 😅😅
isahau masanja hv bdo yupo na bibie toka nihame insta sijui issue hiziHvi ya nick wa pili ilikuaje mzee
Yupo. NaeMs
isahau masanja hv bdo yupo na bibie toka nihame insta sijui issue hizi
Unakazia mzee 😂
Najua viumbe hubadilika, mie nazungumzia ya sasa, akibadilika hakuna tabu, kuna red card ipo mfuko wa shatiNdugu usiongee ukamaliza.....haya mambo hayana ujuzi....na watu hubadilika.....na bahati mbaya hubadilika wakati wewe unamuhitaji.....
Weka akiba ya maneno ndugu.....
😅😅 Bado havieleweki ila alie muacha nae sio mwepesi kwa level Ile..Kivip mbona bill gate kaachwa
Hapana demu wake mbona mtaani wako wengi wa hivi issue ni demu akitaka exposure aonekane, mara hv kwakua unatak mkeo aonekane unaona sifa..... Kumbe umejimalizaSi mnataka pisi kali
Makosa yalikua kama 5 au 6Nikikumbuka jamaa alitia aibu yani nilishindwa kuangalia ile clip kwa aibu aisee
Anasikitisha. Kweli Wagogo ni shida.Na jinsi alivyo Hana kaba
Oooh aseeh......Yupo. Nae
Sasa pilipili kwa kazi gani alio nayo ya kumfanya mkwe asiwe na tamaaHapana demu wake mbona mtaani wako wengi wa hivi issue ni demu akitaka exposure aonekane, mara hv kwakua unatak mkeo aonekane unaona sifa..... Kumbe umejimaliza