Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Mc Pilipili: Vijana wezangu tutafute wanawake wasio na tamaa!

Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Oya kaveli mwanangu makalio ni muhimu sana kwenye ndoa yangu 😅bora demu akwose sura Ila kalio aje nalo
 
Makosa yalikua kama 5 au 6

Utamadunii wa kupiga goti,
Michozi ya kike live live🤣
kushindwa kujikaza,
mpka mwanamke akamuinua, kisha Akambembeleza kifuani.
Akalia kwa kwikwi.
Hivi Hii ni serious mkuu🤔
 
Nakumbuka mama yangu alinambia ukishaoa usimwonyeshe mwanamke kuwa pesa zako ndo nguvu........ Kuna siku ata nguvu ya kubwa ya pesa kutoka mahala pengine na utakosa mke......

Ishi katika uanaume wako, usimnyanyase binti wa watu, mtunze , mvishe, mlishe, muwekee limits kwa kila anachokitaka.....

Akasisitiza kuwa kiuhalisia hakuna mwanamke anayetaka kuwa na mtu asiye na kitu, so work hard Ila

Usioe makalio, sjui hips sura utalia...... Nawasilisha
Expert bimkubwa umempata,usidharau huo ushauri
 
Nakumbuka mama yangu alinambia ukishaoa usimwonyeshe mwanamke kuwa pesa zako ndo nguvu........ Kuna siku ata nguvu ya kubwa ya pesa kutoka mahala pengine na utakosa mke......

Ishi katika uanaume wako, usimnyanyase binti wa watu, mtunze , mvishe, mlishe, muwekee limits kwa kila anachokitaka.....

Akasisitiza kuwa kiuhalisia hakuna mwanamke anayetaka kuwa na mtu asiye na kitu, so work hard Ila

Usioe makalio, sjui hips sura utalia...... Nawasilisha
Vunjabei anakwambia nguvu pekee zinazodumu na demu ni nguvu za kiume
 
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!

View attachment 3196832
Ii
Copy of CCM BANNER OFFICIAL _20250109_232158_0000.jpg
 
Back
Top Bottom