TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

Jamani si alimsema sana Lowasa juzi juzi hapa kwamba ni mgonjwa sana. Jamani haujafa haujaumbika..
 
Dhambi zote zitasamehewa hata ukiua utasamehewa ila Dhabi ya kumkufuru roho Mtakatifu haitasamehewa kamwe!
 
acheni kuingiza propaganda mpaka kwenye vifo n yie eboo,RIP REV.MTIKILA,tutakukumbuka kwa kauli yako ya saa ya ukombozi ni sasa.

Hawa ndio ukawa damu.
 
Pumzika kwa Amani Mtikila ...

Umeondoka bila kuiona Tanganyika yako.
 

MGONJWA WETU NA Rais WETU Mtarajiwa Ndugu Edward Ngoyai Lowasa BADO ANADUNDA TU, YU HAI, NI MZIMA.
 
Basi naanza kumwogopa Mungu wa Lowassa, anaelipa visasi badala ya kusamehe.
Hakulipa kisasi bali ameitwa kwa mahojiano: Swali la kwanza atakaloulizwa ni "wewe si mchungaji? kwa nini ukafanya kazi ya kulaani badala ya kuombea roho za watu zibadilike kunifuata mimi? La pili, je unajua Mimi ni I AM? Ninatoa na ninachukua na pia ninaponya? Aliyekupa mamlaka ya kuwanyanyasa watu wangu ni nani? Jamaa ana hali ngumu kweli kweli!
 
Kafariki bila kuiona tanganyika huru,
 
Lowassa kila a anakwambia wewe ni mgonjwa unamfanyia hivi utaondoa wangapi. Rip Mtikila rip Mtoi rip kombani
 

Pole ndugu yangu, ujinga huondolewa kwa Elimu, ila Upumbavu ni mzigo utakaoondolewa na Kifo tu! Kwa ugonjwa wa Lowassa bado anatibiwa kwa hiyo hela ya Serikali ambayo unadhani utaiokoa kwa Lowassa kutokuwa Ikulu. Pili, kila mtu ni Mgonjwa na Marehemu mtarajiwa, kumwita Mwenzako Marehemu au kusema anatarajia kufa, ilihali nawe upo kwenye foleni hiyohiyo ni dhihaka kwa Mungu ambaye anajua nani ni nani katika listi, na anaweza ifanyia orodha yake marekebisho!
Kwa upofu wako, umesahau tuna mgonjwa Ikulu,hujasikia tukimtabiria kifo, push ups hazimaanishi Uzima hata kidogo! Siasa zisiondoe UTU, mwombe Mungu akurehemu!
 
Watu wa lowasa wanatutoa njea ya hoja. Hoja ni kwamba afya ya lowasa hatoweza kumudu majukumu urais ipasavyo haijalishi kuna wazima wanakufa kabla ya lowasa. Ebo!

na huo ndo ukweli, anaweza kuishi mda mrefu but kwa mikikimikiki ya urais kwa ile afya ni BIG NOOO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…