makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,970
- 1,480
WatabishaLowassa ni MTUME, by Mwenyekiti CCM Dar-es-salaam. unalomuombea linakupata siku mbili nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WatabishaLowassa ni MTUME, by Mwenyekiti CCM Dar-es-salaam. unalomuombea linakupata siku mbili nyingi.
usijaribu kuingilia kazi ya Mungu atakuumbua hadharani mkuu, sheikh Yahya alijaribu ona kilichompata, tar. 25 sept Mtikila alidai CDM ndio waliomuua Wangwe na yeye Mungu Amethibitisha kuwa hakuna wakuchukua nafasi yake.
Alitumwa kazi gani??Mbaya zaidi amefariki kabla ya kumaliza kazi aliyotumwa na ccm.kweli Siku ya kufa nyani, .....................
Haha,duh...kafa kabla ya Lowassa?Mungu hadhihakiwi
sheria ya uchaguz inasemaje uchaguz utafanyika au kuhairishwa nisaidieni watalaam
Lowassa ni Mjenzi huru, huyu mtu hafai kuwa Rais.
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa
Wala Siyo Huyu Subiria Ndani Ya Wiki 2 Zijazo UTABIRI Wa Mtoto Wa Shekhe Yahya UTATIMIA. Mchungaji Nae ALIJISAHAU MNO NA KUJUA KUWA YUPO KTK VITA KALI YA KITANZANIA NA KINYARWANDA. Najua Sasa Kuwa Yule BINGWA WA KUFANYA UMAFIA Hapa Tanzania Mgombea Fulani Sasa ATAFANYA MKAKATI KUWA IONEKANE au UVUMI UENEE KUWA Ni MPANGO LABDA ULIOSUKWA Na Serikali Ya Rwanda ILI Tu KUWAHADAA Watanzania ILA Kwa TUNAOMFAHAMU Tokea UMAFIA Wake Kwa Dr. Mwakyembe Na Professor Mwandosya Wala HATUSHANGAI. Mchungaji ALIPASHWA KIPINDI HIKI AWE VERY CAREFUL Na ASIAMINI MTU YOYOTE Na MLIOBOBEA KTK MEDANI Za INTELLIGENCE MTAKUBALIANA Nami KUWA SIKU ZOTE MPANGO OVU WA KUKUDHURU HUPANGWA NA HURATIBIWA NA WATU VERY LOYAL TO YOU BILA YA WEWE KUJIJUA. Ni Mpango Wa MUDA MREFU NA MBINU ZA KIMAFIA ZIMETUMIKA KWA 100%. Na ALIPOKOSEA TU NI PALE ALIPOKUWA ANATOA KASORO PANDE ZOTE MBILI KWA MPIGA PUSHAPU ZA MBINJUKO NA WA KUSHIKWA NA HAJA KUBWA KILA MARA. Kwa MEDANI Za KIJASUSI UKIWA KTK HALI HII KAMWE HUWEZI KUBAKI SALAMA. Mtikila ALIPASHWA AAMUE TU MOJA KWA MOJA ANAKUWA UPANDE GANI HII INGEMUWEKA SALAMA MNO HASA KIUSALAMA ILA NA YEYE ALITANGATANGA SANA KWA UNAFIKI WAKE. HAJAMWONA MWENZAKE JANA TU ALIKUWA NA MUKULU PALE CCBRT? YULE SASA NDIYO MJANJA NA YUPO KTK MIKONO SALAMA. Nyie WANASIASA JIFUNZENI KUJIDHATITI KOTE KOTE PINDI MNAPOAMUA KUINGIA KTK SIASA TENA HIZI ZA KIMAFIA ZA HAPA TANZANIA. Kifo Chake HAKINA TOFAUTI Na Cha CHACHA WANGWE au Cha Princess Dianna KIMAZINGIRA. Maisha YAENDELEE!
Dah ccm ni wagumu kuelewa hata watu wa ukawa wakianza kuwaita watu wa ccmmaiti wanaotembea mungu anaweza kuwapa somo na fundisho. Kwa kifupi rufanye siasa za sera na policy. Mambo ya nani mgonjwa atafia ikulu au bungeni. Hiyo kazi tumuachie mungusikujua kumbe mungu wa ukawa ni specialist wa mauaji!!! hana kazi nyingine zaidi ya kuua tuuu?
Serikali ipi? Kama lini au unajitoa ufahamu kutetea huku 7!? Serikali isichunguze hujuma za wazo wazo kama kifo cha Mwangosi, kutekwa na kujeruhiwa Dr Ulimboka, Mabomu kwenye mkutano WA CDM Arusha ndio Leo ikachunguze kifo cha mwanasiasa mufilisi Mtikila tena cha ajali!? Weye unaijuwa serikali ya CCM au unaota mchana kweupe!
nyie badala ya kuangalia mienendo yenu na kuchunga ndimi zenu mnaanzisha propaganda . Mungu adhihakiwi mtaisha wote pumbavu