TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

usijaribu kuingilia kazi ya Mungu atakuumbua hadharani mkuu, sheikh Yahya alijaribu ona kilichompata, tar. 25 sept Mtikila alidai CDM ndio waliomuua Wangwe na yeye Mungu Amethibitisha kuwa hakuna wakuchukua nafasi yake.

Mkuu hakuna mungu wa namna hiyo,watu watumie ushetani na kuwamaliza watu anasema mungu ?tumewaona wangapi waliuawa kwa mbinu uchafu za Giza,ukweli utabaki kuwa ukweli,hata mtikila akiondoka duniani,kutoka ikulu ya mungu kwa njia za kumuuliza wapinzani wako sio sawa,
 
Wasije tu wakamfanyia hujuma na rais wetu Magufuli
 
Nitamkumbuka daima mchungaji Christopher Mtikila kama mtanzania mwenye uthubutu wa hali ya juu.Aliyepigania kile alichokiamini kwa nguvu zake zote.

Ni mwanasiasa ambaye alikuwa haishii tu kulalamika bali alichukua hatua za kisheria na mara nyingi alifanikiwa.Mchango wake kwenye kukuza demokrasia nchini hautosahaulika.Yeye kuwa na mapungufu ya hapa na pale ni kithibitisho kuwa alikuwa binadamu wa kawaida.

Mapungufu yake mchungaji hayafuti uthubutu wake wa kupigania mgombea binafsi,katiba mpya na taifa la Tanganyika.Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe....
 
Haha,duh...kafa kabla ya Lowassa?Mungu hadhihakiwi

Heri wafao kabla ya lowasa kwani wamekufa kwa ajali na ajali haina kinga. Hii ni tofauti na kumuingiza mgonjwa ikulu kwani hilo lina kinga. Ya sababu gani kuendelea kuishi na ugonjwa huku ukipigania kuingia ikulu kwenye mlima wa majukumu badala ya kupigania afya yako? Je siyo kwamba unakimbia ikulu kwa ajili ya kuweka mazingira mazuri ya kulinda mali zako zenye maswali meeeengiiii?
 
Alimuita lowasa mgonjwa na hajiwezi sasa oneni kazi ya Mungu Celina komban+mtikila.
 
sheria ya uchaguz inasemaje uchaguz utafanyika au kuhairishwa nisaidieni watalaam

Mtikila hana uhusiano na uchaguzi hakukolify hakuwa na vigezo hvyo tume ilimuengua Ila kwa sababu kanakwamba alirukwa na akili kalikuwa kanadai jinale litarudishwa ili agombee.
 
Lowassa ni Mjenzi huru, huyu mtu hafai kuwa Rais.

Hahahahaha.....

Je wajenzi huru wana nguvu za kimiujiza za kuweza kuondoa maisha ya mtu?

je wajenzi huru ndio wanapanga Nani awe rais? Sio kitengo.?

Je lowassa ni mjenzi huru?
 
Alimkashifu lowasa kuhusu ugonjwa,mpaka akatishia kumshitaki mahakamani kwamba kwa nini anagombea wakati ni mgonjwa


Amefariki akiongea UKWELI...!!! ni kweli lowassa ni mgonjwa na hafai kugombea hio nafasi, sidhani hata gwaride anaweza kukagua anyways ...Mwenyezi Mungu Amuweke Atakapo stahili.... Tunachochuma duniani ndicho tutakacholipwa akhera ....
 

Pushups za mbinjuko?ni nani huyo GENTAMYCINE?
 
Last edited by a moderator:
Ni ajal chalinze akiwa katika usafir binafsi
 
sikujua kumbe mungu wa ukawa ni specialist wa mauaji!!! hana kazi nyingine zaidi ya kuua tuuu?
Dah ccm ni wagumu kuelewa hata watu wa ukawa wakianza kuwaita watu wa ccmmaiti wanaotembea mungu anaweza kuwapa somo na fundisho. Kwa kifupi rufanye siasa za sera na policy. Mambo ya nani mgonjwa atafia ikulu au bungeni. Hiyo kazi tumuachie mungu
 

Mwangosi ndo sahihi ila mtikila sio sahihi,misukule ya gwajima umeishawapa upofu
 
Nyie mlitaka nani afe wapendwa,mnaingilia mamlaka ya mungu kwa matakwa yenu!
 
nyie badala ya kuangalia mienendo yenu na kuchunga ndimi zenu mnaanzisha propaganda . Mungu adhihakiwi mtaisha wote pumbavu

siasa hatar na hapo bado hajaingia madarakan akiingia ikulu itakuaje si atatutoa kafara wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…